Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
Kwakuwa kanisa linapaswa kuelekeza waumini wake kutotenda dhambi bila ya WOGA Wala kutishwa na binadamu yeyote mwanamke ama mwanaume...
na kwakuwa kushiriki wizi ama vitendo viovu ni dhambi...
Kunawatu wameuwawa, wamepotezwa na wengine kufungwa mpaka sasa bila uhalali wowote na kumeibuka vitisho na kupigwa kwa padri,waumini huku wenyedhamana wakijibu kwa kebehi na dharau...
tunaomba kanisa lisimame na litamke kwa kauli thabiti...
Kushiriki uchaguzi huu ni kushirikiana na waovu,wauwaji,watesi,watekaji,wezi na wahuni achache wanaohatarisha amani ya watu na nchi yao.
TUSISHIRIKI UCHAGUZI MPAKA MUAFAKA WA KITAIFA UTAPOFIKIWA!!
AMEN
Hakika huo ni msumari wa moto na dawa mujarabu sana. Tuzidi kumwomba Mungu atuepushe tusifike huko. Amina.
 
Swali

Swali la kijinga saana!!
kwahiyo uovu uendelee kwakuwa haukuondolewa 2020?
Watu wafe wangapi ndio wanywa damu mtashtuka?
Mpinzani mkuu alifungwa tulipoelekea uchaguzi?
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga kama mwalimu tuliwaona?
Tuache unafiki na uzandiki ni aibu familia Moja itoe wabunge wawili wasiopingwa huku hawana maajabu yoyote zaidi ya baba alikuwa Rais...
Ukitetea uovu wewe nimtu wahovyo tuu
Kwakuwa nyinyi ni wanafiki makengeza kwenye kuongea Ukweli !!

ndiomana CCM uwa tuna njia zetu kabambe atutegemei maoni ya Dini yoyote mana wenyewe kwenye Dini Watanzania wanawapuuza Sababu misimamo yenu imejaa Unafiki chuki upendeleo Udini wenu.

Sio kutetea haki za Binadamu

matukio mengi yametokea wamekaa kimyaaa

Mauaji Msikiti wa Mwembe chai wamekufa Watanzania wao wapo kimyaaa !!!!

Mauaji ya pemba kwenye mambo ya Uchaguzi maskofu na TEC yao kimyaaaa

leo watwatwambia nini Sisi tunawajua waongozwa na chuki na njaa tu wamechoka kula Matembele wanataka kula Vidali kuku kienyeji sasa wasubili mpaka 2030+ ebo.
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
"ROMA LOCUTA,CAUSA FINITA"🙏🙏🙏
 
Porojo tu waendelee tu kujichanganya watoe mikaratasi ya kutosha lkn October 28 tunatiki kwa wingi sana.
Sio wa kubeza hata hivyo

Wanaweza kufanya watu wasiende kupiga kura
 
W
Kanisa ndio jawabu la kila kitu. Kama kanisa likinya
Maza na mambo yanaenda ndivyo sivyo hata Mungu Atatushangaa.

Hakuna kiongozi yeyeto wa kisiasa Aliye juu ya watumishi wa Mungu.

Nilazima kama kiongozi na Mwenye hofu ya Mungu huwezi kuwadharahu watumishi wa Mungu kama Una Nguvu Nyingine tofauti na Mungu wa MBINGU na Nchi.
Wanaopuuzwa ni wapuuzi na wanafiki haki kwao kiongoz akiwa Muislamu ndio wanapanda chuki kwa Waumini wao.

Watu kama awa si kuwapuuza tu Watanzania ni wamoja wao wanapanda Chuki kutenganisha Jamii kipindi cha Jakaya ivyo ivyo mikelele mingi miwaraka kama yote!!

lkn Jakaya Uchaguzi bado kashinda na mgombea wao Dk Slaa waliokuwa Wanamuunga mkono waziwazi kwenye Waraka zao kila Jpili kupitia Chadema kaangukia puaa.

So sisi tumewazoea ayo medebe tupu

nyinyi watoto ndio mnaangaiiiiiiiiika pamaja na yote lkn wanamipaka yao mbele ya Serikali.
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Haitasaidia chochote. Fr. Kitima asitulazimishe RC wote tumfuate yeye kama mwanachama wa Chadema. Yeye aendelee na chama chake cha Chadema na wala asifikiri wakatoliki wote tunaiunga mkono Chadema na msaliti Lissu.
 
Sio wa kubeza hata hivyo

Wanaweza kufanya watu wasiende kupiga kura
Wana CCM wataenda niamini mimi watanzania wamesha elimika sana!!!

chunguza wagombea Ubunge na Udiwani wengi ni Waislam au Wakristo ???

utagundua ni Wakristo ndio wengi sana Wagombea wale hawana ndugu zao ??

Chaguzi tunazijua sisi wanaCCM kwaiyo kelele zao tuwapuuze ili tubaki kuwaheshimu tu.

Sababu wao sio Wanasiasa ivyo Siasa hawazigui kindanindani!!

.Kuna wakati Familia imafilisika leo wasiende kupiga kura itawezekana kweli. Wkt uwo jamii ya KISLAM wapo huru kupiga kura.!!

Makosa wanafanya waziwazi Wanajidhalilisha tu kwa Waumini wao wenye Familia za wagombea.
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
nani anaweweseka sasa kati ya kanisa katoliki au serikali? mi navyojua kanisa ndo linaweweseka hasa baada ya masalahi yake ya ujanja ujanja kuguswa maana mapadre walikuwa wanaishi kama wafalme wanahonga sana wanawake na kuwajengea majumba. Sasa mama kaweka mambo sawa wamepoteana. Kanisa lilikuwa linanufaika sana kwa wimbi la vijana wasio na ajira ili kuwaajiri katika shuk zao na kuwanyayasa kwa kuwalipa hela kiduchu sasa hilo kwa sasa haliwezekani kwani ajira sasa hivi kila kona ya nchi hiii
 
..mtawachukulia hatua, na mabadiliko yatafanyika mapema zaidi.

..wakiendelea na uoga wao wa kutoa nyaraka na kuongea kwa mafumbo hakuna kitakachofanyika.
Ukisema nyaraka hazina umuhimu, ni jambo linalonitia wasiwasi kuhusu uelewa wako wa namna Kanisa linavyofanya kazi, au huenda umekurupuka. Ukweli ni kwamba nyaraka ni miongoni mwa nyenzo muhimu za kufikisha taarifa kwa waumini wa Kanisa Katoliki waliosambaa nchi nzima, mijini na vijijini. Nyaraka hizi husomwa kuanzia ngazi ya Jimbo, Parokia, Vigango hadi Jumuiya. Ni nyenzo ya kufikisha taarifa kwa uwiano mpana kwa waumini wote. Nyaraka sio kwa watu kama nyie kama huoni umuhimu wake unatuliza Hilo fuvu.
 
nani anaweweseka sasa kati ya kanisa katoliki au serikali? mi navyojua kanisa ndo linaweweseka hasa baada ya masalahi yake ya ujanja ujanja kuguswa maana mapadre walikuwa wanaishi kama wafalme wanahonga sana wanawake na kuwajengea majumba. Sasa mama kaweka mambo sawa wamepoteana. Kanisa lilikuwa linanufaika sana kwa wimbi la vijana wasio na ajira ili kuwaajiri katika shuk zao na kuwanyayasa kwa kuwalipa hela kiduchu sasa hilo kwa sasa haliwezekani kwani ajira sasa hivi kila kona ya nchi hiii
Unachopaswa kuelewa ni kwamba Serikali hii ya awamu ya sita itamaliza muda wake baada ya miaka mitano, lakini Kanisa litaendelea kuwepo
 
RC wanajikuta wao ndio raia first class.Waliaibika sakata la DP World na hili la uchaguzi litawaumbua pia.
 
Kanisa lifanye wajibu wake ila tu lisipandikize mbegu ya udini maana ikiota usalama utakuwa mashakani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom