Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,818
- 62,030
Tunaliomba kanisa lisimame na wananchi. Linayo nafasi njema ya kuliponya Taifa.
Basi safari hii wapumbavu wameamka.Huwezi weka hatima ya nchi mikononi mwa wapumbavu kupitia karatasi ya kura
Kila mtu ana wajibu wa kuifuata na kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.Kila mtu ana haki,kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria,kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya Katiba na sheria za nchi.(Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 26)RC ni taasisi ya dini au siasa?..shida yao na samia ni nini mpaka vurugu zote hizi?
Tulia dawa ikuingieNovena haijafanya kazi?..acha watoe nyaraka, dying horse,nchi hii si ya kanisa
Upumbavu upo kichwani, ulale uamke unao tuBasi safari hii wapumbavu wameamka.
Duuh kwa hiyo tusubiri Tetemeko?Heshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Huwe uwezo hata muhamadi hana😅😅Wachukue hatua Ili tuwachukulie hatua
None sense,out of contextKila mtu ana wajibu wa kuifuata na kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.Kila mtu ana haki,kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria,kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya Katiba na sheria za nchi.(Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 26)
Kwa sababu huna akili.None sense,out of context
Unajikesha nini wewe!?..ushungi yuko pale ikulu, kobazi yuko msoga,ni mwendo wa kupandishwa bp vigangoniHuwe uwezo hata muhamadi hana😅😅
Ungekua nazo usinge-reply vitu out of contextKwa sababu huna akili.
Pole pole kashasema uchaguz ushaisha lakin. Ni tarehe tu inasubiriwaHeshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Hujui unalosema wewe. Viongozi wakisema waumini wetu hakuna kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi hakuna mkatoliki atapiga kura...Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.
..Wachukue hatua, kwa kufanya jambo jipya.
Wa kwanza kupiga kura atakua nchimbi, hakuna utii huo, ndivyo kanisa linavyojidanganyaHujui unalosema wewe. Viongozi wakisema waumini wetu hakuna kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi hakuna mkatoliki atapiga kura.
Nchimbi atapiga kwa sababu ni mgombea na hata hivyo itabidi ajitenge na kanisa halitahusika na yeye. Ataamua mwenyeweWa kwanza kupiga kura atakua nchimbi, hakuna utii huo, ndivyo kanisa linavyojidanganya
Wanaccm wakatoliki watapigaNchimbi atapiga kwa sababu ni mgombea na hata hivyo itabidi ajitenge na kanisa halitahusika na yeye. Ataamua mwenyewe
Wewe unajifurahisha tu hujui chochote. R.C ikitoa maelekezo waumini wake huyatii. Mathalan wakitangaza kuwa waumini wasipige kura mwaka huu kutokana na kukosekana haki usidhani hawatatii. Hadi viongozi Serikalini watatii !RC ni kitu gani kwani!?.. wanadhani wafuasi wao walioajiriwa serikalini watawatii,never..RC wakitaka wahame hata nchi waende vatican,tz itabaki na itasonga bila wao
Hawa jamaa wangegombania haki yao ya kuoa kwanzaHeshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Nchi hii ni ya Nani?Novena haijafanya kazi?..acha watoe nyaraka, dying horse,nchi hii si ya kanisa