Hakuna nchi ya Vatican; hiyo utakuwa umeitengeneza mwenyewe.Huoni kama wanachofanya maaskofu wakiwa kanisani kwenye mimbali ni kama uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi unaofanywa na nchi ya Vatican?
Hakuna nchi ya Vatican; hiyo utakuwa umeitengeneza mwenyewe.Huoni kama wanachofanya maaskofu wakiwa kanisani kwenye mimbali ni kama uingiliaji wa mambo ya ndani ya nchi unaofanywa na nchi ya Vatican?
Wanazitumia kuwaibia waumini sadakaZinawasaidia nini huko parokia?
Taifa gani ili la wakina Rostam,GSM na Abdul mafisadi? We mtoto ni mpumbavu kweliTISS hu-recruit kila sehemu,nimesoma islamic school na wengi tu walikua recruited na TISS, nothing special,membe alikua mmisionari lakini kanisa halikumpenda,hao TISS missionari ndiyo wanaoyatoa ya ndani ya church kwa TISS,taifa kwanza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mitetemo ya Gwajima umeiona?Hii nchi inapitia mitetemo uchwara mingi.
Hakuna nchi ya Vatican; hiyo utakuwa umeitengeneza mwenyewe.
Tuna shingo zenye madini ya Almasi, zinashupaa hizo!Heshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Kuna mambo mazito kwa sasa zaidi ya hili mkuu "Nangu Nyau', pamoja na kwamba ningependa kuuendeleza mjadala huu. mbele ya hapa. Kwa hiyo naomba unisamehe kwa kuweka fikra zangu nyingi huko kwingine kwa sasa hivi.ni kweli hakuna nchi ya Vatican, nimeiterm kama nchi Kwa kigezo cha kuwa na mamlaka kamili inayojitegemea pamoja na Balozi zake nchi tofauti tofauti, hiyo ni kama hadhi ya nchi tu.
ndani ya mitaa ya Khartoum Sudan
Nimeacha kuwafatilia aisee,🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mitetemo ya Gwajima umeiona?
Kuna mambo mazito kwa sasa zaidi ya hili mkuu "Nangu Nyau', pamoja na kwamba ningependa kuuendeleza mjadala huu. mbele ya hapa. Kwa hiyo naomba unisamehe kwa kuweka fikra zangu nyingi huko kwingine kwa sasa hivi.
Baada ya Novena kushindwa sio? Basi sawa. Ngoja tulisubiri.Heshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Wapuuzi tuu haoHeshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Asa kama unasema ma padri wameshindwa,je mashehe wataweza nini?😅😅Wameshindwa kung'amua logic kwenye imani yao waje waongee logic kwenye siasa!?
😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂🤣🤣🤣Novena haijafanya kazi?..acha watoe nyaraka, dying horse,nchi hii si ya kanisa
Hakuna Serikali itakubali kupelekeshwa na vikundi vya kidini.Heshima sana wanajamvi,
Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million
WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.
Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Tuanze na wewe mpaka sasa umeshachukua hatua gani ? Au ndio upo geto kwa masela, wahuni wanaku-baby-sha..Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.
..Wachukue hatua kwa kufanya jambo jipya.