Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
Haon
Wanachojivunia ni wafuasi, ndiyo wana-blackmail watu,hizo nyakati zimepita
Hao wafuasi ingawa hakuna anayejua uwingi na impact yao mtanzania yyte mwenye akili hawezi kuwazingatia hao mashetani. Km wana wafuasi waanzishe chama wasijifiche kwenye majoho tuone km watashinda hao ngedere pori
 
Nakwambia hakuna kitu zaidi ya kuzowea kudekezwa,sasa mama hadekezi akitiwa ujasiri na jk, ndiyo unaona povu kwa JK
Walidekezwa tangu awali, huwezi kuwa na taifa la hivyo, kesho madhehebu mengine yatataka huko kudekezwa,mtakua na nchi?..wanachotegemea ni wafuasi wao kupiga kelele kama uonavyo sasa,na labda wagomee serikali kwa nyadhifa/nafasi zao,huo utii haupo
Pole sana kwasababu huijui Vatican vizuri. Huijui dunia niseme.
 
Wachukue hatua Ili tuwachukulie hatua
Kawakamateni muwafungie Sasa hivi unajua nguvu ya kanisa Katoliki wewe manzi au unaropoka ropoka unadhani ni hicho genge lenu la wahalifu la Sa100 kama huamini Hilo mbona huyo Mzee wa Msoga au huyo Sa100 na washirika wake hawawajibu😂😂 Hujui mpka TISS wanapikwa ndani ya Seminary za Kikatoliki nachomaanisha wanaanza kufanya recruitmet kwa hawa vijana na taarifa zao wanaomba nyie hamjui Siri ya hili Kanisa na ushawishi wake na Hata kimataifa kama huamini tafuta mtu uulize uambiwe mengine ni mazito yako nje ya madam kukujibu watoto kama nyie wanaonuka maziwa
 
Wapige masta na ma-dada wapo nao humohumo!?
1756227164237.jpg
 
Unajikesha nini wewe!?..ushungi yuko pale ikulu, kobazi yuko msoga,ni mwendo wa kupandishwa bp vigangoni
mbona kanisa katoliki limekuwa likiongea mengi na linazidi kuongea mengi ila hatujaona serikali yako na kobazi wenzako wakichukua hatua yoyote kama walivyochukua hatua kwa gwajima?? Au huwezi pia kuona wala kufikiri? 😄
 
Kawakamateni muwafungie Sasa hivi unajua nguvu ya kanisa Katoliki wewe manzi au unaropoka ropoka unadhani ni hicho genge lenu la wahalifu la Sa100 kama huamini Hilo mbona huyo Mzee wa Msoga au huyo Sa100 na washirika wake hawawajibu😂😂 Hujui mpka TISS wanapikwa ndani ya Seminary za Kikatoliki nachomaanisha wanaanza kufanya recruitmet kwa hawa vijana na taarifa zao wanaomba nyie hamjui Siri ya hili Kanisa na ushawishi wake na Hata kimataifa kama huamini tafuta mtu uulize uambiwe mengine ni mazito yako nje ya madam kukujibu watoto kama nyie wanaonuka maziwa
Huyo manzi anaropoka tuu,itakuwa yuko period
 
Watu wakajipanga, ghafla kavuta fomu,watu wakaja na novena
Wewe hujui Samia Suluhu Hassan anafanya nini hadi sasa kiasi kwamba unauliza maswali ya kipumbavu hivi?
Sasa unatafuta jibu gani; kwamba nawe ni mzoga wa kike anayepambania maslahi ya Genge?
 
Matetemeko haya huwa tunayasikia sana huko Ila kwenye taarifa za Habari hawajawahi kuandika
Ombeni sana ipo siku itatetemeka kweli kama Japan
 
What's PhD!?.. what difference've they made!?.. PhD zao ndiyo zinawatuma kulawiti watoto!?
Difference ni kwamba wao wanaongea wa logic ila mashehe wenu wakishiba ndio wanaongea,maana wengi ni vichwa wazi.
 
Wanachojivunia ni wafuasi, ndiyo wana-blackmail watu,hizo nyakati zimepita
Kwani nchimbi, mpango ni dhehebu Gani ina bidi na hayo muyaangalie hii inshu wanacho bugi upinzani ni kuiweka udini hili kosa Huwa linajirudia kila siku


Fullstop, kwishaaaa
 
Novena haijafanya kazi?..acha watoe nyaraka, dying horse,nchi hii si ya kanisa
Wewe mtu wa hovyo na waganga wenzako wa kienyeji ,mmepewa nchi kidogo tuu mnaanza kuiba uchaguzi, kesi fake, kuua na kuteka watu etc , dawa yenu inakuja
 
Aisee, na Waislamu watakuja kutoa waraka kuhusiana na uchaguzi.
Wahindu nao watakuja na waraka.
Wapagani nao watakuja na waraka nk.

Kama wako 26 mil basi tambua na wengine nao wako zaidi 34mil.
China hakuna Catholic, Russia hakuna Catholic, India hakuna Catholic, Japan, South Korea hakuna Catholic, Indonesia, Malyasia, Singapore, Thailand nk. Lakini wanaishi na wana maendeleo na chumi zao ni kubwa.

Tuache kuinvolve sana haya mambo ya dini na siasa siasa hizi, Serikali inapaswa kuchukua maamuzi magumu sana, juu ya haya masuala.

Piga marufuku kabisa kuongelea masuala ya siasa na wanasiasa misikitini na makanisani, Piga marufuku viongozi wa dini kwenye siasa,wabaki huko huko makanisani na misikitini, Piga marufuku wanasiasa kwenye harambee za makanisa na misikiti waende tu kama waumini wa kawaida na wachange kama watu wa kawaida.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
Kwani hawana haki ya uTanzania wao?
Kwa nini uangalie dini inayowahusu na kuacha kuona uTanzania wao. Hao wengine wamekatazwa na nani?

Leo hii hata shetani akisimamia HAKI ya waTanzania, nitakuwa upande wake bila kujali yeye ni shetani.
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
SAMIA NI JOKA LIPIGWE KWA NGUVU ZOTE KABLA AJA ANGAMIZA TAIFA ...NIMEONYA LITAKUWA KOSA KUBWA SANA SAMIA KUENDELEA KUKALIA KITI CHA URAIS HATA UCHAGUZI UKIWA HURU SAMIA HATAKIWI KUGOMBEA URAIS .....NA AKIGOMBEA HATAKIWI KUCHAGULIWA NA AKIJIPITISHA HATAKIWI KUPEWA URAIS NA AKIJIPA URAIS ANATAKIWA KUONDOLEWA KWA NGUVU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom