Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Tetesi: Kanisa Katoliki kutoa waraka utakaotetemesha nchi

Status
Not open for further replies.
Swali
2020 walikua wapi?
Swali la kijinga saana!!
kwahiyo uovu uendelee kwakuwa haukuondolewa 2020?
Watu wafe wangapi ndio wanywa damu mtashtuka?
Mpinzani mkuu alifungwa tulipoelekea uchaguzi?
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga kama mwalimu tuliwaona?
Tuache unafiki na uzandiki ni aibu familia Moja itoe wabunge wawili wasiopingwa huku hawana maajabu yoyote zaidi ya baba alikuwa Rais...
Ukitetea uovu wewe nimtu wahovyo tuu
 
Nakwambia hakuna kitu zaidi ya kuzowea kudekezwa,sasa mama hadekezi akitiwa ujasiri na jk, ndiyo unaona povu kwa JK
Walidekezwa tangu awali, huwezi kuwa na taifa la hivyo, kesho madhehebu mengine yatataka huko kudekezwa,mtakua na nchi?..wanachotegemea ni wafuasi wao kupiga kelele kama uonavyo sasa,na labda wagomee serikali kwa nyadhifa/nafasi zao,huo utii haupo
Sawa Mkuu, ngoja tuone kifuatacho ITV
 
..Nyaraka zimepitwa na wakati, na zimezoeleka.

..Wachukue hatua, kwa kufanya jambo jipya.
hatua yenyewe ndio hii: HAKUNA KUFANYA UCHAGUZI BILA YA KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOLIANDAMA TAIFA. (HP NA WENGINE WALISHAZISEMA). MAMLAKA ZIKILAZIMISHA KUFANYA UCHAGUZI, WAKATOLIKI WOTE NCHINI PAMOJA NA RAIA WENYE NIA NJEMA NA TAIFA HILI TUFANYE MAANDAMANO YA AMANI NCHI NZIMA SIKU HIYO YA TAREHE29/10/2025. baada ya hapo tutajua cha kufanya.

serikali isiojali wananchi ni serikali ya kuzimu hiyo.
 
Swali

Swali la kijinga saana!!
kwahiyo uovu uendelee kwakuwa haukuondolewa 2020?
Watu wafe wangapi ndio wanywa damu mtashtuka?
Mpinzani mkuu alifungwa tulipoelekea uchaguzi?
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga kama mwalimu tuliwaona?
Tuache unafiki na uzandiki ni aibu familia Moja itoe wabunge wawili wasiopingwa huku hawana maajabu yoyote
Ukitetea uovu wewe nimtu wahovyo tuu
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga!?..una akili timamu wewe!?..chama cha kihuni kinapataje usajili!?.. mgombea kufungwa,mgombea gani kafungwa!?..mtu akichukua form ya kugombea kisha akavunja sherii asichukuliwe hatua!?..nyi mna nini vichwani,maji!?
 
Heshima sana wanajamvi,

Kanisa katoliki ambalo ndio kanisa kubwa kwa idadi ya waumini linatarajia kutoa WARAKA UTAKAOJIKITA ZAIDI KATIKA MASUALA YA UCHAGUZI MKUU 2025.Inakadiriwa kanisa Katoliki lina waumini 26.2 million

WARAKA WA KANISA KATOLIKI umesababisha wapenda madaraka kwa njia ujanja ujanja kuweweseka na kukimbilia kuitisha mkutano 27/08/2025 kujaribu kuwatisha,kubabaisha kanisa dhidi ya msimamo mkali wa kupinga wizi wa uchaguzi.

Ngongo kwasasa Parokiani Monduli.
Nchi imeshatetemeka sana

Labda sasa mlete nyaraka za kuitakasa nchi
 
hatua yenyewe ndio hii: HAKUNA KUFANYA UCHAGUZI BILA YA KUTATUA CHANGAMOTO ZINAZOLIANDAMA TAIFA. (HP NA WENGINE WALISHAZISEMA). MAMLAKA ZIKILAZIMISHA KUFANYA UCHAGUZI, WAKATOLIKI WOTE NCHINI PAMOJA NA RAIA WENYE NIA NJEMA NA TAIFA HILI TUFANYE MAANDAMANO YA AMANI NCHI NZIMA SIKU HIYO YA TAREHE29/10/2025. baada ya hapo tutajua cha kufanya.

serikali isiojali wananchi ni serikali ya kuzimu hiyo.
Kila siku nchi ina changamoto, palikua na changamoto ya mauwaji ya albino na uchaguzi ulifanyika,kama hamtoandamana kwenye vituo vya kura bali barabarani, basi endeleeni,sisi na kobazi zetu tutaenda piga kura
 
Kila siku nchi ina changamoto, palikua na changamoto ya mauwaji ya albino na uchaguzi ulifanyika,kama hamtoandamana kwenye vituo vya kura bali barabarani, basi endeleeni,sisi na kobazi zetu tutaenda piga kura

sawa, ila ujue Babeli ishaanguka. ni madhihirisho tu sasa.
 
Vyama vya kihuni na wagombea wajinga!?..una akili timamu wewe!?..chama cha kihuni kinapataje usajili!?.. mgombea kufungwa,mgombea gani kafungwa!?..mtu akichukua form ya kugombea kisha akavunja sherii asichukuliwe hatua!?..nyi mna nini vichwani,maji!?
Wewe umejaza tope kichwani na huna hofu ya Mungu.
Hata uchaguzi ukilazimishwa nchi itaongozwa kwakutumia mtutu maana kiti kimekaliwa kwa dhulma na kwakumwagika damu zawatu!!
Time will tell
 
Mie nasemaga Dini, Siasa na mpira ni upuuzi kama upuuzi mwingine.

Imagine leo hii wewe ni mkatoliki, umejitafuta na mwaka huu unataka kugombea labda udiwani kupitia ccm, sasa hili bifu sijui utakaa upande upi?
 
Aisee, na Waislamu watakuja kutoa waraka kuhusiana na uchaguzi.
Wahindu nao watakuja na waraka.
Wapagani nao watakuja na waraka nk.

Kama wako 26 mil basi tambua na wengine nao wako zaidi 34mil.
China hakuna Catholic, Russia hakuna Catholic, India hakuna Catholic, Japan, South Korea hakuna Catholic, Indonesia, Malyasia, Singapore, Thailand nk. Lakini wanaishi na wana maendeleo na chumi zao ni kubwa.

Tuache kuinvolve sana haya mambo ya dini na siasa siasa hizi, Serikali inapaswa kuchukua maamuzi magumu sana, juu ya haya masuala.

Piga marufuku kabisa kuongelea masuala ya siasa na wanasiasa misikitini na makanisani, Piga marufuku viongozi wa dini kwenye siasa,wabaki huko huko makanisani na misikitini, Piga marufuku wanasiasa kwenye harambee za makanisa na misikiti waende tu kama waumini wa kawaida na wachange kama watu wa kawaida.

ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom