Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania yampongeza Rais Magufuli na kuipongeza Tanzania, kujenga mazingira bora ya biashara ya Mafuta, Uwekezaji

Bado kampuni za sukari na cement kumpongeza kwa bei kupanda kila mwaka
 
mayalla! mayalla! mayalla!
nimekuita mara ngapi mayalla!!?
hata ukipewa ka kazi kadogo dogo hivi serikali,
bado hautafanikiwa,
kujipendekeza kumezid
 
mayalla! mayalla! mayalla!
nimekuita mara ngapi mayalla!!?
hata ukipewa ka kazi kadogo dogo hivi serikali,
bado hautafanikiwa,
kujipendekeza kumezid
Mimi ningefurahi awamu ya NNE ilikaribisha FDI ( uwekezaji toka nje ni kiasi gani), na awmu ya 5 imekaribisha kiasi kwa muda ule ule. Mfano JK alikuta GDP ya Kila mtanzania ni $540 akaipandisha hadi $980 na JPM ameupandisha hadi $1130 . Kwa hiyo JK ametufikisha karibu na uchumi Wa kati kuliko JPM . Lakini mabingwa Wa kujikomba mbona mnaogopa namba.? Na namba hazidangayi
, ukizijua propaganda za walamba viatu unazidharau. Shikamoo takwimu, ndio maana madictator hawzipendi maana zinatoa ukweli unaowaumbua. Wenye Kazi za boot lickers mniwie radhi ,so Mimi ni takwimu.
 
Nina mashaka na hawa mabeberu.Pamoja na kwamba mabeberu huwa sio wachoyo kufanya nao biashara pamoja ila Ukiona mbwembwe zimezidi jua ndo wanaondoka hivyo.ila wanaondoka kijanja hawataki shida badae.siku tukija kushtuka watakua washasepa kitambo.Ngoja tusubiri muda ufike utatupa majibu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…