Maneno ya walevi hayana mashiko.
Mbona wanakimbia??????Wanabodi,
Kampuni ya Mafuta ya Total, imempongeza Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na serikali yake ya awamu ya tano, kwa kujenga mazingira wezeshi ya biashara, na uwekezaji, yanayovutia wawekezaji wa kimataifa kuleta mitaji ya uwekezaji nchini na kuwawezesha Watanzania kupatiwa fursa za kuingia katika biashara za ubia za vituo vya mafuta vya kiwango cha kimataifa.
Pongezi hizo zimetolewa leo, na Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta cha Total, Total Mchigani, kilichopo Goba, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kinachomilikiwa na Mtanzania mzawa. Kituo hicho kiko kwenye moja ya barabara yenye shughuli nyingi za kiuchumi jijini Dar es salaam inayotokea Mbezi Beach hadi Mbezi Kimara hivyo kulenga kuwahudumia wakaazi wa Tegeta, Mbezi Beach na Kimara pamoja na watumiaji wote wa barabara hiyo.
“Napenda kutumia nafasi hii, kumshukuru Rais wa Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na kuishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwezesha ukuaji wa kibiashara kwenye sekta ya nishati. Pia tunatambua kuwa uzinduzi huu usingewezekana pasingekuwa na baraka za serikali ambayo waliidhinisha leseni za kuendesha kituo hiki na kwa hilo shukrani zangu za dhati zinaenda kwa EWURA na pamoja na taasisi zingine za kiserikali zilizowezesha jambo hili kufanikiwa” Alisema Bw. Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp
Bwana Jean Franchois ameongeza kuwa Total Tanzania imekuwa ikihimiza wamiliki wa biashara kukuza biashara zao kwa kuingia ubia wa kibiashara na kampuni hiyo kwa njia ya DODO ambayo itawawezesha kumiliki na kuendesha vituo vya mafuta vyenye chapa ya Total. DODO ni mfumo wa kibiashara ambao kampuni ya hiyo hutumia kuweza kuongeza mtandao wa vituo vyake nchini. Mfumo huu unawawezesha wafanyabiahsara kuingia kwenye ubia na kampuni ya Total na kuweza kumiliki, kuendesha Pamoja na kusimamia vituo vya huduma vya Mafuta vyenye chapa ya Total.
Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp alisema Total inalenga kumfikia kila Mtanzania na kuwapatia nafasi ya kufuruhia huduma na bidhaa nzuri kutoka Total. Pia tunawaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Aliongeza kuwa; Leo, tunafurahia kuingia katika ubia wa kibiashara na Mhandisi Frank Malle ambae ni mmiliki wa kampuni ya F.S Mshuwa Co na mmiliki wa kituo hichi. Kwa ushirikiano huu tunatarajia kuihudumia Goba na jamii inayoishi maeneo ya jirani. Pia ningependa kutumia fursa hii kuwaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Kwa upande wake, mmiliki wa kituo hicho, Frank Malle, ameishukuru Total sio tuu kwa kuwawezesha kumiliki kituo hicho, bali pia kuwaokoa wasiuze ardhi yao, maana walishawishiwa sana kuuza ardhi, lakini Total ikawakomboa, sasa na wao ni wamiliki wa kituo cha kisasa cha mafuta cha Total.
Paskali
View attachment 1556125View attachment 1556126View attachment 1556127View attachment 1556128View attachment 1556129View attachment 1556130View attachment 1556131View attachment 1556132
Ni kwa sababu Mtu Mweusi ni "sensitive" sana haswa linapokuja swala la "black and White"....kama inavyoendelea kule US.Pascal Mayalla Mkuu ushasikia wapi Mzungu akaponda kitu?
Tabia ya mzungu hata akija kwenye nyumba ya udogo ataisifia udongo na fito zilizojengea hiyo nyumba. Mzungu huwa hadis kitu hata siku moja.
Experience: nafanya nao kazi kwa miaka 15 sasa.
Watarudi.Mbona wanakimbia??????
Kabisa, wanacheza na akili zetu. Sisi tunaona wanatusifu kumbe wanatung'ong'aNi kwa sababu Mtu Mweusi ni "sensitive" sana haswa linapokuja swala la "black anda White"....kama inavyoendelea kule US.
Kama ilivyoandikwa kwenye Biblia kuwasihi Waume "ishini nao kwa akili" nadhani nao huwa wanahimizana vivyo hivyo dhidi yetu.
View attachment 1556193
p bana unajitahid kupambaa wakati ukumbi wenyewe unavuja
Kaka Pascal, mbona hii kampuni ipo Tanznia Miaka mingi tuu na hata Ndugu yangu mmoja anamiliki sheli 3 mjini Dar za Total tokea miaka ya 1990 .Wanabodi,
Kampuni ya Mafuta ya Total, imempongeza Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na serikali yake ya awamu ya tano, kwa kujenga mazingira wezeshi ya biashara, na uwekezaji, yanayovutia wawekezaji wa kimataifa kuleta mitaji ya uwekezaji nchini na kuwawezesha Watanzania kupatiwa fursa za kuingia katika biashara za ubia za vituo vya mafuta vya kiwango cha kimataifa.
Pongezi hizo zimetolewa leo, na Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta cha Total, Total Mchigani, kilichopo Goba, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kinachomilikiwa na Mtanzania mzawa. Kituo hicho kiko kwenye moja ya barabara yenye shughuli nyingi za kiuchumi jijini Dar es salaam inayotokea Mbezi Beach hadi Mbezi Kimara hivyo kulenga kuwahudumia wakaazi wa Tegeta, Mbezi Beach na Kimara pamoja na watumiaji wote wa barabara hiyo.
“Napenda kutumia nafasi hii, kumshukuru Rais wa Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na kuishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwezesha ukuaji wa kibiashara kwenye sekta ya nishati. Pia tunatambua kuwa uzinduzi huu usingewezekana pasingekuwa na baraka za serikali ambayo waliidhinisha leseni za kuendesha kituo hiki na kwa hilo shukrani zangu za dhati zinaenda kwa EWURA na pamoja na taasisi zingine za kiserikali zilizowezesha jambo hili kufanikiwa” Alisema Bw. Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp
Bwana Jean Franchois ameongeza kuwa Total Tanzania imekuwa ikihimiza wamiliki wa biashara kukuza biashara zao kwa kuingia ubia wa kibiashara na kampuni hiyo kwa njia ya DODO ambayo itawawezesha kumiliki na kuendesha vituo vya mafuta vyenye chapa ya Total. DODO ni mfumo wa kibiashara ambao kampuni ya hiyo hutumia kuweza kuongeza mtandao wa vituo vyake nchini. Mfumo huu unawawezesha wafanyabiahsara kuingia kwenye ubia na kampuni ya Total na kuweza kumiliki, kuendesha Pamoja na kusimamia vituo vya huduma vya Mafuta vyenye chapa ya Total.
Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp alisema Total inalenga kumfikia kila Mtanzania na kuwapatia nafasi ya kufuruhia huduma na bidhaa nzuri kutoka Total. Pia tunawaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Aliongeza kuwa; Leo, tunafurahia kuingia katika ubia wa kibiashara na Mhandisi Frank Malle ambae ni mmiliki wa kampuni ya F.S Mshuwa Co na mmiliki wa kituo hichi. Kwa ushirikiano huu tunatarajia kuihudumia Goba na jamii inayoishi maeneo ya jirani. Pia ningependa kutumia fursa hii kuwaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Kwa upande wake, mmiliki wa kituo hicho, Frank Malle, ameishukuru Total sio tuu kwa kuwawezesha kumiliki kituo hicho, bali pia kuwaokoa wasiuze ardhi yao, maana walishawishiwa sana kuuza ardhi, lakini Total ikawakomboa, sasa na wao ni wamiliki wa kituo cha kisasa cha mafuta cha Total.
Paskali
View attachment 1556125View attachment 1556126View attachment 1556127View attachment 1556128View attachment 1556129View attachment 1556130View attachment 1556131View attachment 1556132
"Mkuu ongezea sauti kidogo"Mbona wanafunga Tena biashara zao hapa nchini wakati mazingira ya biashara yameboreka?
Hii habari ya zamani sana,miaka kadhaa imepitaWanabodi,
Kampuni ya Mafuta ya Total, imempongeza Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na serikali yake ya awamu ya tano, kwa kujenga mazingira wezeshi ya biashara, na uwekezaji, yanayovutia wawekezaji wa kimataifa kuleta mitaji ya uwekezaji nchini na kuwawezesha Watanzania kupatiwa fursa za kuingia katika biashara za ubia za vituo vya mafuta vya kiwango cha kimataifa.
Pongezi hizo zimetolewa leo, na Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp wakati wa uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta cha Total, Total Mchigani, kilichopo Goba, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, kinachomilikiwa na Mtanzania mzawa. Kituo hicho kiko kwenye moja ya barabara yenye shughuli nyingi za kiuchumi jijini Dar es salaam inayotokea Mbezi Beach hadi Mbezi Kimara hivyo kulenga kuwahudumia wakaazi wa Tegeta, Mbezi Beach na Kimara pamoja na watumiaji wote wa barabara hiyo.
“Napenda kutumia nafasi hii, kumshukuru Rais wa Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, na kuishukuru serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuwezesha ukuaji wa kibiashara kwenye sekta ya nishati. Pia tunatambua kuwa uzinduzi huu usingewezekana pasingekuwa na baraka za serikali ambayo waliidhinisha leseni za kuendesha kituo hiki na kwa hilo shukrani zangu za dhati zinaenda kwa EWURA na pamoja na taasisi zingine za kiserikali zilizowezesha jambo hili kufanikiwa” Alisema Bw. Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp
Bwana Jean Franchois ameongeza kuwa Total Tanzania imekuwa ikihimiza wamiliki wa biashara kukuza biashara zao kwa kuingia ubia wa kibiashara na kampuni hiyo kwa njia ya DODO ambayo itawawezesha kumiliki na kuendesha vituo vya mafuta vyenye chapa ya Total. DODO ni mfumo wa kibiashara ambao kampuni ya hiyo hutumia kuweza kuongeza mtandao wa vituo vyake nchini. Mfumo huu unawawezesha wafanyabiahsara kuingia kwenye ubia na kampuni ya Total na kuweza kumiliki, kuendesha Pamoja na kusimamia vituo vya huduma vya Mafuta vyenye chapa ya Total.
Mkurugenzi Mtendaji wa Total Tanzania Bw. Jean Franchois Schoepp alisema Total inalenga kumfikia kila Mtanzania na kuwapatia nafasi ya kufuruhia huduma na bidhaa nzuri kutoka Total. Pia tunawaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Aliongeza kuwa; Leo, tunafurahia kuingia katika ubia wa kibiashara na Mhandisi Frank Malle ambae ni mmiliki wa kampuni ya F.S Mshuwa Co na mmiliki wa kituo hichi. Kwa ushirikiano huu tunatarajia kuihudumia Goba na jamii inayoishi maeneo ya jirani. Pia ningependa kutumia fursa hii kuwaalika wafanya biashara ambao wangependa kupanua biashara zao kuungana nasi kupitia mpango wetu wa DODO na kupata nafasi ya kumiliki kituo cha huduma ya mafuta na kuweza kupanua na kuimarisha biashara zao.
Kwa upande wake, mmiliki wa kituo hicho, Frank Malle, ameishukuru Total sio tuu kwa kuwawezesha kumiliki kituo hicho, bali pia kuwaokoa wasiuze ardhi yao, maana walishawishiwa sana kuuza ardhi, lakini Total ikawakomboa, sasa na wao ni wamiliki wa kituo cha kisasa cha mafuta cha Total.
Paskali
View attachment 1556125View attachment 1556126View attachment 1556127View attachment 1556128View attachment 1556129View attachment 1556130View attachment 1556131View attachment 1556132
Hii ni habari ya jana!.Hii habari ya zamani sana,miaka kadhaa imepita
Na Mimi.nimekaona kwamba,wanafungasha vyao kabisaKuna kasiridi nimekaona jukwaa la siasa eti total wameondoka TZ wanauza kampuni. Siasa za bongo upuuzi mtupu!
mbona wanafunga biashara hao Total?Hii ni habari ya jana!.
P
Hawafungi, Total is there to staymbona wanafunga biashara hao Total?
HahaaKwetu mayalla ni NJAAView attachment 1556197
Hiki ulicho kisema ni sahihi kabisa .. Hata Mimi pia nina hii experiencePascal Mayalla Mkuu ushasikia wapi Mzungu akaponda kitu?
Tabia ya mzungu hata akija kwenye nyumba ya udogo ataisifia udongo na fito zilizojengea hiyo nyumba. Mzungu huwa hadis kitu hata siku moja.
Experience: nafanya nao kazi kwa miaka 15 sasa.