Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #41
Nadhani bora tuombe ma MOD wabadilishe kichwa cha habari na kuwa "down memory lane"... maana mwisho tutakumbushana mambo ya "ukuti ukuti" na kitu hiki hapa ambako JokaKuu amekigusia. Nakushauri usibonyeze kusikiliza usije kunilaumu na kutaka JF ifungiwe bure!