Wakati India juzi wamefika mwezini, sisi tupo bize na mambo ya uchawi na uganga! Katika ubora wetuNiko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.
Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.
Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.
Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.
Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.
Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Sasa serikali zetu huku Africa(Tz) zina kwama wapi kuchukua utaalamu Wakuwajua wachawi kutoka ulaya (mf England miaka ya 1600s) na U.S.A Ili tuwafyekleee mbalii. Maana Hawa washikaji miyeyusho sana yani huna time Naye lakini anajipendekeza kwenye harakati zakoUlaya ukigundulika ni mchawi unauliwa kimya kimya, kama wewe si raia wa ulaya unakuwa depoted na hurusiwi tena kukanyaga nchi yao milele yote. ulaya uchawi ni laana mbaya sana hawataki kuisikia.
Hao mliowaleta nao ni wachawi tuu, mkitaka kuona wanyimeni hela.Safi sanaaa wakandarasi roka DRC & NIJA, Wachawi washenzi sanaa! Wanasumbua
Labda wachawi waliomba msaada wa DC awakingie kifua dhidi ya kamchape,kamchape ni noma,wakimaliza KG waje Dar wapige lock kabisaMwaka huu huu Nakumbuka Mkuu wa Walaya na mapolisi walikataza hayo mambo ya kina kamchape (wasaka wachawi)
Naona wamewaingiza kibishi bishi.
Kwani we mchawi,acha kamchape wawasambile wachawiHao ni matapeli mtapgwa hela hadi mchakae, sisi uku mkoa x tulisha watimua.
Mmmmmh! Kigoma sio pakukaaKigoma kila walipo watu watano mmoja ni either mchawi, mshirikina au mganga.
Kigoma jirani yake Sumbawanga huku juu anakamatana na Wasukuma na wanyamwezi,mashariki anakamatana na wacongomani Kigoma kawekwa kati na kote huko kwa uchawi ni moto hatari
Ulaya waliendelea baada ya kuwaua wachawi wote.Ulaya ukigundulika ni mchawi unauliwa kimya kimya, kama wewe si raia wa ulaya unakuwa depoted na hurusiwi tena kukanyaga nchi yao milele yote. ulaya uchawi ni laana mbaya sana hawataki kuisikia.
Ngoja wachukue hela za bure izo africa jinga sanaKwani we mchawi,acha kamchape wawasambile wachawi
Hao ni wapumbavu tu utawaogopa kama uwajui.Mmmmmh! Kigoma sio pakukaa
Mchawi mtaje kamchape ndio kiboko yakengoja wachukue hela za bure izo africa jinga sana
Kama mbinu zipi mkuuHao ni wapumbavu tu utawaogopa kama uwajui.
Mchawi ukiwajua mbinu zao ni sawa na takataka tu
Tafadhali waambie hao vigagula kutoka congo na nigeria tunawahitaji watufanyie kitu hapa bandar salama mara tu wakimalizana na hao waha na wamanyema.Niko Kigoma mida hii, ni noma Sana mkoa umekuwa wa Moto balaa, wachawi wanalia Kama watoto wadogo wanatamani Hadi kufa lakini wapi.
Baada ya tabia za ovyo za kichawi kuzidi, ilibidi wananchi watoe 'contract' kwa magwiji kutoka Congo na Nigeria Kuja kushugulika nao.
Mchakato wa kuwapata hao wataalamu umefuata kanuni zote za manunuzi ya umma, mchakato ni Kama ule wa DP World sema huu Hauna mazingira ya rushwa, baada ya mchakato wa zabuni Wacongo na Wanigeria walishinda.
Kabla ya kuanza kazi makotrankta huwa wanaingia Kijiji husika kimyakimya wanapita kwenye mipaka ya Kijiji na kuweka kufuli (hamna mchawi hatakayeweza kutoroka Wala kupitisha silaha zake wakati zoezi likiendelea.
Baadae makotrankta uingia ndani ya Kijiji kuanza kazi rasmi.
Kuna vitu vya ajabu zimetolewa kwenye majumba ya watu sio poa.
Wachawi wa Kigoma wanajua mpaka wanajua tena, yaani ni Kama wachezaji wa World Cup sema ndio hivyo tena na hawa makontrakta Ni Kama marefa wa Uefa, wanaona hata bila VAR. Ukileta kontrakta levo za RAMADHAN Kayoko anabadilishwa kuwa nyau fasta.
Nitaendelea kuwaletea update baadae kidogo wakuu
Kila mtu na Imani yakeKama mbinu zipi mkuu