Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,817
Dah watu mna dwawaIndocid kwa sasa hazipatikani sana madukani,Valium ni nzuri sana,akila zinafanya mfumo wa upumuaji kusinyaa soo wanakufa,tatizo ukitega alafu akala mbwa,naye utampoteza
Dah watu mna dwawaIndocid kwa sasa hazipatikani sana madukani,Valium ni nzuri sana,akila zinafanya mfumo wa upumuaji kusinyaa soo wanakufa,tatizo ukitega alafu akala mbwa,naye utampoteza
Vyote viwiliKwa hyo ugoro unawaua au kuwakimbiza?
Haya ya Dar? Hakyamama yanaacha cheese yanaenda kuvizia govi la kijana wako kitandaniHakuna panya anaeacha kula cheese 🧀 hubby
panya anafungua friji?Labda mapanya ya Dar yaliyozoea kula kitimoto na mapaka kwenye bar.
Yale majanja hayalagi nyama zilizotegwa. Yatafanya kila yawezalo hata ikibidi kufungua friji na kula vilivyomo.
Ndio chakula chao pendwa mkuu?Hakuna panya anaeacha kula cheese 🧀 hubby
HaswaaNdio chakula chao pendwa mkuu?
Ni kweli nyoka hula panya.Naomba ufafanuzi mkuu si kwamba nyoka watakuwa wengi mana chakula chao kinapatikana kwa wingi?
Tahadhari iliwekwa. Nikafungia mbwa na kuku ndani. Huyu mtoto kaamka sijui kajisahau au ni wenge. Kafungulia kuku. Kuna mambo yanatokea unaweza piga mtu ila unaishia kusonya tu.Unaweka bila tahadhari? Ni uzembe wa hali ya juu na unaweza kuua hata binadamu wewe. Sumu ya panya inawekwa kwa kuhakikishia sehemu iliyowekwa haiwezi kileta madhara kwa mifugo au watu. Na pia unatoa tahadhari kwa familia nzima ili kila mtu ajue.
Nilitoa taarifa kwa kila mtu. Ila sijui dada alijisahau au ni wenge. Going forward nitafungia mpaka binadamu ndani hakuna kutoka mpaka mimi ndio nitoke wa kwanza....Usirudie huo mchezo mkuu.
Ukiweka dawa ya panya hom usifanye siri watangazie kila mtu ajue na uweke wewe mwenyewe na uwahi kuamka asubuhi kutoa mabaki wewe mwenyewe.
Kumbuka hiyo ni sumu. Siku ingine utawamaliza binadam wenzio.
Duh kwa hizo tiles/tailizi hapa lazma itakuwa kwa mdau wa kanda maalum.
Hapo ni storeDuh kwa hizo tiles/tailizi hapa lazma itakuwa kwa mdau wa kanda maalum.
Paka wa siku hizi hawali panya, sijui ndio Tom & Jerry zimewaharibu!![emoji2817][emoji2817][emoji2817]Fuga paka ndugu, tena tafuta breed inayowinda na kula panya.
Kero yake kuu ni pale panya watakapo kwisha ndani kwako ataanza kwenda kuwinda nje kisha anakuletea mizoga ndani.
Pia anavyozidi kukua ataanza kuwa jeuri na mwenye tabia za porini.
Mbali na hapo, hili ndilo suluhisho la kudumu. Panya wako very smart, wakijua nyumba hii kuna paka basi wanahama kabisa.
Paka kwa Carbon/graphite ya kwenye battery hachomoi!!Mkuu katika wanyama wabishi na wenye akili paka hawezi kukosa, paka ni mjanja sana unaweza ukamtegea sumu lakini ataenda atainusa na kuiacha kama ulivyoweka watu wanasema paka ana tabia ya kunusa ndipo uanza kula na iwapo utatega sumu basi utakuta kama ulivyoweka
Ni kweli hata mimi huwa naitumia hiyo dawa wanakufa fasta halafu hawanuki utawakyta wamekaukaaa.Hahaaaa mkuu Ni kweli? Nasumbuliwa Sana na panya aise
Mnakaa nao kwenye makochi na kuwatizamisha filamu ya tom na Jerry na hayo ndiyo majibu yake 😂😂Paka wa siku hizi hawali panya, sijui ndio Tom & Jerry zimewaharibu!![emoji2817][emoji2817][emoji2817]
Itafte kwanza ndipo utajua ila imesagwa tiyariHizo indocin unazisaga na kuzimwaga ndani au unazisaga na kunyunyiza unga wake kwenye chakula kinachopendwa kuliwa na paka.?
JamiiForums mobile app
Lakini si baadaye nyoka si watakuja baada ya kugundua uwepo wa panya kama chakula chake?Ni kweli nyoka hula panya.
Ukiona panya anakaa sehemu ujue keshajiridhisha hapo mahali hakuna nyoka. Ukiona sehemu haina panya chunguza utakuta lazma nyoka hawakosekani hapo.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Mnakaa nao kwenye makochi na kuwatizamisha filamu ya tom na Jerry na hayo ndiyo majibu yake [emoji23][emoji23]
Mimi alikaa kwenye sofa, anatoka usiku mchana anakausha unamsikia anavyohangaika.
Muda ukaenda akatanuka nakuongezeka size..... Kunasiku anatembea kwenye sofa namsikia anavyojipenyeza..... Aiseee nilipiga ngumi, vipepsi na mateke lile eneo alipo hadi akaanza kupiga ukunga....
Aisee nilitandika ngumi za maana hadi akatulia baada ya siku mbili nikaanza kusikia harufu ya mzoga nikajua tayari....