Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Kuua panya mmoja kwa 500 kweli hii ni hasara. Ngoja nami nitumie Piriton, Indocid.
Anaejua sumu nzuri kwa ajili ya paka shume anijulishe tafadhali yamekula sana vifaranga wangu.
Nenda kwa wale wauza samaki wa nguru au papa, kuna mmoja ukimuweka tu paka wote wanaondoka
 
Nenda kwa wale wauza samaki wa nguru au papa, kuna mmoja ukimuweka tu paka wote wanaondoka
Fafanua kidogo hapa mkuu, ukimuweka nini au wauzaji ndo wanaijua hiyo sumu?
 
Back
Top Bottom