Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Usidanganywe indocide ni salama ikiwa kwenye capsule zake tu nje ya hapo ni sumu kama sumu zingine na hasa ikiingia mfano kwenye kidonda au sehemu ulipojikata hata uuzaji wake mpaka uwe na cheti cha dactari ndio unauziwa.

Ila ni sumu nzuri sana kwa panya na wakifa hawanuki
 
Hizo indocin unazisaga na kuzimwaga ndani au unazisaga na kunyunyiza unga wake kwenye chakula kinachopendwa kuliwa na paka.?

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Zinakua kwenye capsule kwa hivyo unaifungua kisha ule unga unanyunyizia kwenye nyanya au dagaa au chocho utachotumia kama chambo, pia zile caps nazo unazichanganya humo humo.
 
Mimi alikaa kwenye sofa, anatoka usiku mchana anakausha unamsikia anavyohangaika.

Muda ukaenda akatanuka nakuongezeka size..... Kunasiku anatembea kwenye sofa namsikia anavyojipenyeza..... Aiseee nilipiga ngumi, vipepsi na mateke lile eneo alipo hadi akaanza kupiga ukunga....

Aisee nilitandika ngumi za maana hadi akatulia baada ya siku mbili nikaanza kusikia harufu ya mzoga nikajua tayari....
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mnajaza makorokoro mengi mno kwenye nyumba zenu.
Nyumba ikipangiliwa vizuri na ikawa safi muda wote panya wenyewe wanajisikia aibu kukatiza.
Panya penye njaa hakai hakikisha hakuna mabaki yoyote ya chakula yanazagaa.
Ukitaka kujua penye njaa panya hakai nyumba ikose watu week tu panya wote wanasepa.
 
Mtego huo hapo
JPEG_20200912_212015_557167544992286254.jpg
JPEG_20200912_212038_1528737311169805286.jpg
 
Back
Top Bottom