Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Kama unasumbuliwa na panya pitia hapa

Je umekuwa ukisumbuliwa na panya sana?

Je umetumia pesa sana kununua sumu za panya bila mafanikio?

Kama jibu ni ndiyo basi soma na ufanye hivi;

Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa INDOCID (indomethacin 25 mg capsules) halafu katege kama unavyotegaga sumu nyingine za unga za panya. Baada ya siku 4-5 matokeo utakayoyapata naamini mwenyewe utaleta mrejesho

Dawa hii hutumiwa na binadamu kama dawa zingine tu ila kwa panya ni sumu kwani wakishakula utaona siku ya nne panya wanakufa na wengine wanashindwa kutembea kwa kusagika sagika mifupa

Kama una jirani yako mshauri naye atumie maana muda mwingine waweza kuta unahangaika kumbe wanahamia kutoka nyumba ya pili

Dawa hii inaepusha gharama kwani pakiti ya buku (tembe 10) unaweza tega mara kadhaa bila kuimaliza pia ni salama kabisa wakati wa kutega kwani siyo sumu kwa binadamu
Kunguni VIP MKUU..... karaha yao.....
 
Ahhh aseeh kwenye sabufa yangu pale kweny lile tobo aliingia nikiwa namuona kabisa ilikuwa mchana basi ilikuwa on nikaweka bluetooth nikatafuta nyimbo yenye mdundo wa maana alafu nikaongezaaaa sauti volume hadi mwisho nikapita kinyuma nyuma nikaziba kwa haraka lile tundu na nguo kisha nika play [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilimchangamsha niliplay nyimbo tano zenye mdungo mkubwa kisha nikatoa tambara alitoka anatembea kama mlevi nikamalizia kuua saafi
We ulimuweza[emoji28]
 
Yeah kumuua mwenyewe hapana, muachie nyanya afanye hiyo kazi maninaa[emoji28]
[emoji3]

Kuna siku panya kaingia kwenye kabati ya nguo niko na jamaa yangu tukaanza kupekura mule kabatini, pekenyua huku tunapigapiga bwana, yule panya si akatoka kwa spidi ya risasi.... Jamaa akaruka kwa mshituko [emoji3][emoji3] sasa kile kitendo cha kuruka ikawa ni kosa la jinai maana alimtimbatimba panya kapasukapasuka... Aisee siwezi sahau siku ile.
 
[emoji3]

Kuna siku panya kaingia kwenye kabati ya nguo niko na jamaa yangu tukaanza kupekura mule kabatini, pekenyua huku tunapigapiga bwana, yule panya si akatoka kwa spidi ya risasi.... Jamaa akaruka kwa mshituko [emoji3][emoji3] sasa kile kitendo cha kuruka ikawa ni kosa la jinai maana alimtimbatimba panya kapasukapasuka... Aisee siwezi sahau siku ile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana we jamaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana we jamaa
[emoji3]

Eti nikashangaa kumbe panya anakimbia kwasababu anatuogopa lakini wakati huo huo na mwenzangu naye anamuogopa panya..
 
Ni kweli nyumba yenye makorokoro mengi na ina gizagiza ndio mazalia ya panya hata wanyama/wadudu wengine.
Mnajaza makorokoro mengi mno kwenye nyumba zenu.
Nyumba ikipangiliwa vizuri na ikawa safi muda wote panya wenyewe wanajisikia aibu kukatiza.
Panya penye njaa hakai hakikisha hakuna mabaki yoyote ya chakula yanazagaa.
Ukitaka kujua penye njaa panya hakai nyumba ikose watu week tu panya wote wanasepa.
 
Back
Top Bottom