Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Usidanganywe indocide ni salama ikiwa kwenye capsule zake tu nje ya hapo ni sumu kama sumu zingine na hasa ikiingia mfano kwenye kidonda au sehemu ulipojikata hata uuzaji wake mpaka uwe na cheti cha dactari ndio unauziwa.
Ila ni sumu nzuri sana kwa panya na wakifa hawanuki
Mkuu kwenye ununuaji sio kweli mkuumbona tunazinunua tu fresh kabisa