Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
Jamani nimechekaaaKwa kweli panya wengine tuwapuuze tu! Nadhani wakielewa roho zao zitawauma sana.
Jamani nimechekaaaKwa kweli panya wengine tuwapuuze tu! Nadhani wakielewa roho zao zitawauma sana.
Hii si dawa ya panya ni dawa ya mifupa ya binadamu......sasa basi panya anapoila inaenda kusagasaga mifupa yake mwilini ni mwishowe hufa ila inachukua kama siku mbili ivi kwa panya kufa.......njia nzuri ambayo panya hachomoki ni nyanya kata vipande vinne then chukua icho kidonge kipachue ule unga wake nyunyuzia kwenye majimaji ya nyanya nenda katege majibu utayapata tu wala usiwe na haraka.....Je umekuwa ukisumbuliwa na panya sana?
Je umetumia pesa sana kununua sumu za panya bila mafanikio?
Kama jibu ni ndiyo basi soma na ufanye hivi;
Nenda duka la dawa nunua dawa inaitwa INDOCID (indomethacin 25 mg capsules) halafu katege kama unavyotegaga sumu nyingine za unga za panya. Baada ya siku 4-5 matokeo utakayoyapata naamini mwenyewe utaleta mrejesho
Dawa hii hutumiwa na binadamu kama dawa zingine tu ila kwa panya ni sumu kwani wakishakula utaona siku ya nne panya wanakufa na wengine wanashindwa kutembea kwa kusagika sagika mifupa
Kama una jirani yako mshauri naye atumie maana muda mwingine waweza kuta unahangaika kumbe wanahamia kutoka nyumba ya pili
Dawa hii inaepusha gharama kwani pakiti ya buku (tembe 10) unaweza tega mara kadhaa bila kuimaliza pia ni salama kabisa wakati wa kutega kwani siyo sumu kwa binadamu
Kuna panya anapekenya sofa ndani kwa ndani, hatoki nje nahisi hata nikimtega ni kazi sifuri... nimeamua kumpuuza nione kama atalimaliza sofa!
Mimi alikaa kwenye sofa, anatoka usiku mchana anakausha unamsikia anavyohangaika.
Muda ukaenda akatanuka nakuongezeka size..... Kunasiku anatembea kwenye sofa namsikia anavyojipenyeza..... Aiseee nilipiga ngumi, vipepsi na mateke lile eneo alipo hadi akaanza kupiga ukunga....
Aisee nilitandika ngumi za maana hadi akatulia baada ya siku mbili nikaanza kusikia harufu ya mzoga nikajua tayari....
Zipo hardware nyingi tuNasumbuliwa na mchwa wanakula had Maua nje..hii hydrogen peroxide naipata famasi?
Shukrani sanaZipo hardware nyingi tu
Hii ya piriton sikuifahamu kabisa, unaisaga au nzima nzima amezeIndocid cha mtoto piriton tu ukiweka moja kwenye kakipande ka nyama au samaki asubuhi unawaokota kama mateja
Mkuu sio kwelii.[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji86]lazima ana watoto huyo
Ila udhaifu wa panya ni nyanya, pamoja na ujanja wake kwenye nyanya hachomoki
Panya mtu huyomkuu mimi kwangu kuna shida ya panya mmoja tu!
ubaya panya huyu anakula nyaya za umeme tu na soksi, nishatega nyanya, samaki nazikuta vile vile ila nikinunua soksi tu, yeye aichukua moja inabaki moja tu!
nifanyaje!
Ni dawa kweli jana nimeweka leo stoo kimya kabisa hakuna mishe mishe zao nasubiri harufu tu.Nilikuwa naenda kununua dawa ya panya. Sijui nani kanituma nitembelee JF.
Kama ni kweli Basi naenda kununua sasa hivi hii dawa.
Aisee hii mbinu ya kivita kabisa nimeielewa sana [emoji3]Hiyo Indocid ndugu utawapata wawili au watatu wa mwanzo tu, wakishajua umewatega hawalii! Ukitaka kuwakomoa vizuri wewe mwaga Ugoro tu kwenye njia yao au hata Nyoka kama wanakutembelea sana. Mwaga Ugoro tu uone kimbembe chake, panya, nyoka hawana Chafya.
Inauwa kweli.Nilikuwa naenda kununua dawa ya panya. Sijui nani kanituma nitembelee JF.
Kama ni kweli Basi naenda kununua sasa hivi hii dawa.