MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Kisa cha kweli,
Mtoto alikuwa analelewa na bibi yake Naye bibi kalundika vijana wasio na kazi wanakula bure na kulala bure, mmoja wa vijana ana tabia ya kuwalawiti watoto huyu wa sasa ni watatu.
Issue ikajulikana Mara kutahamaki bibi wa aliyelatiwa anamaliza tatizo kifamilia mwenye mtoto anataka kumfunga mkosaji ambaye ni ndugu kifamilia ila mkosaji anatoroka kwa msaada wa bibi wa aliyelawitiwa.
Mpaka sasa mlawiti hajulikani alipo na mlawitiwa mtoto wa kike 9 yrs amepimwa hispitali majibu yanaonyesha nyuma kaharibika.
NB: Wazazi kuweni karibu na watoto hali mbaya kwa sasa.
Mtoto alikuwa analelewa na bibi yake Naye bibi kalundika vijana wasio na kazi wanakula bure na kulala bure, mmoja wa vijana ana tabia ya kuwalawiti watoto huyu wa sasa ni watatu.
Issue ikajulikana Mara kutahamaki bibi wa aliyelatiwa anamaliza tatizo kifamilia mwenye mtoto anataka kumfunga mkosaji ambaye ni ndugu kifamilia ila mkosaji anatoroka kwa msaada wa bibi wa aliyelawitiwa.
Mpaka sasa mlawiti hajulikani alipo na mlawitiwa mtoto wa kike 9 yrs amepimwa hispitali majibu yanaonyesha nyuma kaharibika.
NB: Wazazi kuweni karibu na watoto hali mbaya kwa sasa.