Shemej yangu
Seran. Gmorning to You.
Hajasema ukajaribu ndoa na Gen Z 😂😂😂, Hebu puuzia hilo wazo jipya.
Bidada kaolewa na mtu aliyemzidi umri. Let say 12+ yrs.
Interest yao kubwa kwa wakat ule ilikuwa ni ndoa, na mwanaume akil ishatulia nna ujana amemaliza ila yeye sasa ndio mwil wa ujana unachemka na ana nguvu. So vibe haikumatch. Na Vibox vingne havikutick. (Vilitick mwanzon tu kabla ya ndoa😂😂😂😂).
So utaona hapa issue sio Ndoa. Issue ni aliolewa na nani.
So akashaur watu waoane wakiwa agemate, au mzidiane kidogo na pia mhakikishe energy ina match.
She Got a point.
watu wasiingie kwa ndoa Kwa kigezo cha lazima kuoana.