Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

katika ulimwengu wa utaendawazi, hata ka chalii kenye 17yrs huwa kanajua yote hayo hata kabla hakajaonja.
wa 20 na 21 pia hawapo mbali sana, wanajua angles zote.
(courtesy of internet & boys talk, sexuality pep talk za kitaa maana hata stori nyingi za kitaa za age hii ni jinsi ya kumkunja "demu" ulingoni)

Tena ni age of curiosity, flexibility na ready to explore kila kitu kwenye sex.
Hence, kwa ngono they are more than ready.

ila disadvantages ya age hii labda ni kwamba kwa walio mazingira ya town, mentality ya majority ya age group hii haipo ready kwa majukumu ya family beyond sex. (ila kwa sex tu, ahaaaa wapo ready wanangu for an extra mile, heavy duty, rough riding )

Binafsi a male of 24 namuona ni mtu matured, labda tu kama aamue kimtizamo kujidai yeye bado ni under 17, kutokana na influence za waliomzunguka.
Hmm how old are you?🤔
 
Shemej yangu Seran. Gmorning to You.

Hajasema ukajaribu ndoa na Gen Z 😂😂😂, Hebu puuzia hilo wazo jipya.

Bidada kaolewa na mtu aliyemzidi umri. Let say 12+ yrs.
Interest yao kubwa kwa wakat ule ilikuwa ni ndoa, na mwanaume akil ishatulia nna ujana amemaliza ila yeye sasa ndio mwil wa ujana unachemka na ana nguvu. So vibe haikumatch. Na Vibox vingne havikutick. (Vilitick mwanzon tu kabla ya ndoa😂😂😂😂).

So utaona hapa issue sio Ndoa. Issue ni aliolewa na nani.
So akashaur watu waoane wakiwa agemate, au mzidiane kidogo na pia mhakikishe energy ina match.

She Got a point.
watu wasiingie kwa ndoa Kwa kigezo cha lazima kuoana.
Ooh basi mimi nikajua kuwa bidada yupo age hiyo ana enjoy utamu wa rika nikatamani nionje pia na sio ndoa sasa mwee! Kumbe kaolewa na mbaba🤭
Mzima lakini shem lake, ulipotea tangu weekend 😁
 
Mie nikisema usioe mtoto mdogo wanaona natania, oa mtu ye anaingia menopause we bado nguvu ziko pale pale ama ndio zinaishia ishia
Unawashauri vijana waoe mishangazi 😂 😂

Ndo uutolee mfano umri wangu?
anyway PM iko wazi shangazi
Wamekugusa penyewe, hebu jipigie promo kijana tusikie sifa zako.
 
Usicheze na nyege, kitu mbaya sana hii. Unaweza kuandika au kuongea utumbo in the name of nyege.

Ila sasa, mbona kuwekana siku hizi ni easy sana, hasa nyie vijana.
 
Sasa mie nina miaka 35 nikaoe kitoto cha miaka 20, wakati mimi nina 50, chenyewe ndio kwanza 35 dada wa makamo.. nikifikisha 60, yeye ndio 45, mimi 65 ub00h haudindi mpaka ubustiwe kwa kupigwa shoti , yeye ndio 50 bado anautaka. 😂🤣
Umeelezea scenario vizuri sana, ila 65 mbali sana wengine 50 to 60 tayari inabidi abustiwe mashine na kama anaweza kunyanyuka mwenyewe basi dakika 5 nyingi keshamwaga, hapo mke kupewa tena mpaka baada ya wiki mbili 😂.
 
Enjoyment inayoangaliwa kwa sasa na mabinti ni pesa tu na ndipo wazee wanapiga panenka.

Hizo dick ma-ex ambao ni age mates wapo watapiga gozi fresh tu.
 
Huyu ashaa jua kapuyanga
20251226_062256.jpg
 
Si ni nyie humu kila siku mnasema ndoa sio sexy tu?

Hivi mtu tayari una familia watoto wanne bado unawaza dudu la yuyu sidhani kama ingekuwa kuoana wa same age kama mambo yangekua kama yalivyo, situation ingekuwa mbaya zaidi.

N vyema kuoa au kuolewa na mtu uliemridhia na usijutie maana hayo maamuzi uliyafanya mwenyewe kwa upendo.
Depression is constant🤣
 
Back
Top Bottom