Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 11,885
- 35,352
Anhaa dah uzee huu nilishasahau bila kunikumbusha inakuwa kipengele, ulisema unatokea wapi kijana?Ohooo umeshabadilika tena.
Nikajua nakuja kwenye Interview kama mzigo utatosha 😁😁
Umeghairi? Hutaki dogo dogo wa 22 tena?
Kuhusu mzigo weka hapa huku ukifika ni kazi kwenda mbele hakuna huo muda wa kuchunguzana!