Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kwani hapa kuna mtu unamuogopa? Au kuna mtu anakujua? We ikibidi kila kitu tumalizane hapa hapa!

Duhh kwahiyo unatoka katavi mpaka dar🫢
Aaaaah wakiona wengi wataanza nisumbua DM, na hii nafasi nimetoa kwa upendeleo tu kwako 😁😁.

Ndio katavi mjini lakini
 
Huko katavi hakuna wamama? Mbona unachezea nauli kijana😆

Hawawezi wengi wameshapata vijana tayari, nawasiliana nao!
Nani asiyetaka Kuenjoy na wamama wa Daslam 😁😁.
Naskia huko, hamvai hata zile za ndani ni kupandisha tu na kuweka.

Wamama wa huku mpaka uikute ushachoka, Sijui sketi,gagulo, then Kaptula, Then tight, then kyupi, ndio uikute.
Hazipungi upepo hazina ladha.
 
Nani asiyetaka Kuenjoy na wamama wa Daslam 😁😁.
Naskia huko, hamvai hata zile za ndani ni kupandisha tu na kuweka.
Pole sana Huku mambo leleleleee
Siunaelewa joto!
Wamama wa huku mpaka uikute ushachoka, Sijui sketi,gagulo, then Kaptula, Then tight, then kyupi, ndio uikute.
Hazipungi upepo hazina ladha.
😳😳
Ulimpekuwa nani huyo alikuwa anaficha dhahabu?
 
Unaonekana una hashiki za kingono na jamaa yako hapendelei hayo mambo,na uliamua kuolewa naye kwa kuwa yupo vizuri may be kiuchumi.

Hapa ndio utoana utofauti kati ya wanawake wa kizungu na wa kiafrika,mpende mtu kutokana na unachokihitaji kutoka kwa huyo mwanaume na sio vinginevyo.

Either way,unaweza kuachika na kutafuta vijana wa 24 yrs-but at the end utaona yote hayana maanaa.

Sex ni sehemu ndogo katika maisha.
 
Nmemiss hili song!

Aanh akatuma picha mrembo shatashata,
akili ikanituma kutaka kumkata, nimetuma fungu tayari kalipa,
anakuja na tax leo ataipata!
Bado hajafika jogoo ameshawikaa…🥰
Verse ya Nikki wa pili hii...😁

Halafu anaingia Joh Makini,

🎶Na miss wale tuma kwa namba hii, machizi mi nawaliza ki namna hii, Vile nawa marinate waje eeeh! Vile nawa peti peti waje eeeh! Wakisema tuma picha, nashusha naweka, wakitaka za utupu, nashusha nawekaa.
 
Back
Top Bottom