Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 12,984
- 27,600
Verse ya Nikki wa pili hii...😁Nmemiss hili song!
Aanh akatuma picha mrembo shatashata,
akili ikanituma kutaka kumkata, nimetuma fungu tayari kalipa,
anakuja na tax leo ataipata!
Bado hajafika jogoo ameshawikaa…🥰
Halafu anaingia Joh Makini,
🎶Na miss wale tuma kwa namba hii, machizi mi nawaliza ki namna hii, Vile nawa marinate waje eeeh! Vile nawa peti peti waje eeeh! Wakisema tuma picha, nashusha naweka, wakitaka za utupu, nashusha nawekaa.