Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Nmemiss hili song!

Aanh akatuma picha mrembo shatashata,
akili ikanituma kutaka kumkata, nimetuma fungu tayari kalipa,
anakuja na tax leo ataipata!
Bado hajafika jogoo ameshawikaa…🥰
Verse ya Nikki wa pili hii...😁

Halafu anaingia Joh Makini,

🎶Na miss wale tuma kwa namba hii, machizi mi nawaliza ki namna hii, Vile nawa marinate waje eeeh! Vile nawa peti peti waje eeeh! Wakisema tuma picha, nashusha naweka, wakitaka za utupu, nashusha nawekaa.
 
Iko mambo hapo.
Mkuu, kwenye masuala ya mahusiano ya mapenzi Mimi naamini hakuna Unconditional love (upendo usio na masharti, ambapo mtu anapenda mwingine bila kuweka vikwazo au masharti yoyote).

Mara zote, mwanaum/mwanamke humpenda mwenzake Kwa sababu fulani fulani hata iweje.
 
Nmemiss hili song!

Aanh akatuma picha mrembo shatashata,
akili ikanituma kutaka kumkata, nimetuma fungu tayari kalipa,
anakuja na tax leo ataipata!
Bado hajafika jogoo ameshawikaa…🥰
Huu wbo ni wa kimasihara sana lakini naikubali sana.

"Samahani! Namba uliyopiga umepigwa!" 😂.
 
Mkuu, kwenye masuala ya mahusiano ya mapenzi Mimi naamini hakuna Unconditional love (upendo usio na masharti, ambapo mtu anapenda mwingine bila kuweka vikwazo au masharti yoyote).

Mara zote, mwanaum/mwanamke humpenda mwenzake Kwa sababu fulani fulani hata iweje.
Kila binadamu ana asili ya ubinafsi.

Umimi kwanza.

For that reason, Unconditional love doesn't exist.

Kila mtu anapima na kujali maslahi yake kwanza.

Unakuta mzazi kazaa watoto wanne au watano. Wale watoto wanaomjali na kumpa pesa ndio atakao wapenda. Kwa sababu maslahi yake mzazi yanajaliwa.
 
Kila binadamu ana asili ya ubinafsi.

Umimi kwanza.

For that reason, Unconditional love doesn't exist.

Kila mtu anapima na kujali maslahi yake kwanza.

Unakuta mzazi kazaa watoto wanne au watano. Wale watoto wanaomjali na kumpa pesa ndio atakao wapenda. Kwa sababu maslahi yake mzazi yanajaliwa.
Ndo maana hata Katia masuala ya mahusiano ya kimapenzi ukiona umependwa/umependa basi Kuna sababu fulani inafanya hivyo, kwa mfano pesa, uzuri, umaarufu n.k.

Halafu mtu anakuambia, "sinakulenda kwa sababu ya pesa, ni unconditional love tu".
 
Mimi najua ni wewe...tatizo mikwara yako inasababisha mbio za barazani huku nageuka nyuma naangalia unaokota nini kunipiga nacho 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 nikiwa sober sipigani usijali🤗
1775103861027.gif
 
Verse ya Nikki wa pili hii...😁

Halafu anaingia Joh Makini,

🎶Na miss wale tuma kwa namba hii, machizi mi nawaliza ki namna hii, Vile nawa marinate waje eeeh! Vile nawa peti peti waje eeeh! Wakisema tuma picha, nashusha naweka, wakitaka za utupu, nashusha nawekaa.
Hahahah umemix ngoja nikuteremshie verse…

Namiss wale wa tuma kwa namba hii
Machizi mi nawaliza kinamna hii
Vile nawa marinate pale hee
Picha la sanchoka kwa profile
Ndio linawaseti seti waje eeh
Vile nawapeti peti pale eeh…
1775104120517.gif
 
Mimi naupenda sana kuna siku nmeuimba nikajipost status🤣🤣

Na kuna vacay moja niliuimba staff wananishangaa kama ni mm ila hizi pombe🙌🏾
Hebu nitumie hicho kipande wakati ukiimba nami nivunje mbavu japo kidogo 😂.
 
Back
Top Bottom