Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,414
- 96,739
Eti 24 mtoto, dah sema hata mi naona sina haja ya kuua mende kwa bunduki😅😂
IJumaa hii nitakuwepo Dar es salaam.....Tunaangalia mzigo sasa
Safi!!IJumaa hii nitakuwepo Dar es salaam.....
Ujionee mwenyewe.
Au basi🤣Eti 24 mtoto, dah sema hata mi naona sina haja ya kuua mende kwa bunduki😅😂
Basi nini sasa?, bunduki ya kivita ni makosa kuulia panzi.Au basi🤣
Ndio ureact kwa moto moto 😂😂😂Safi!!
Sababu naijua 🤐Basi nini sasa?, bunduki ya kivita ni makosa kuulia panzi.
halafu hiyo early 20, sijaona wa kuni sumbua nikiwa kwenye ubora wangu sekta yoyote na 30 zao.
Nahisi siku hizi nitajaza ka kikombe kadogo, maana au basi😅Sababu naijua 🤐
View attachment 3565588
Nisifanye maandalizi jamani😆Ndio ureact kwa moto moto 😂😂😂
Aah wapi😁 au basi🤐Nahisi siku hizi nitajaza ka kikombe kadogo, maana au basi😅
JichanganyeAah wapi😁 au basi🤐
Hebu tujaribu🤔 au basi🤭Jichanganye
Mimi mgeni hapo daslam, naomba uje Unipokee standNisifanye maandalizi jamani😆
You know my zone!Hebu tujaribu🤔 au basi🤭
Unaenda kufanyanini? Nikupokee nikupeleke wapi?Mimi mgeni hapo daslam, naomba uje Unipokee stand
Ohooo umeshabadilika tena.Unaenda kufanyanini? Nikupokee nikupeleke wapi?
Kwamba ana sahani kubwa au nini mkuu Manga ML?Masai dada utakufa na nyege zako wewe mana hakuna wa kukutosha