Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 693
- 1,583
Kama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Nyie ndio mpo sahihi kukimbia watotoAnaweza lakini ni sahihi?
Unafanya kitu kwasababu ya faida/hasara sio kisa unaweza
Umefanana na Unique FlowerNyie ndio mpo sahihi kukimbia watoto
Na nyie mnafanya kitu kwasababu ya faida/hasara
🤣🤣 sure.Umefanana na Unique Flower
sina haja ya kuanza kuhukumu mm wa kuhukumu ni MunguKwani ni wanaume wote wana kataa watoto? Apo uta hukumu vip, ili ulie nae akifulia ukimbie , utajuaje ana kataa watoto ?
Sijafanana na mtu yoyoteUmefanana na Unique Flower
MwacheniUmefanana na Unique Flower
Na sisi hatuwazi kuwakimbia mkifulia wakati huo tumewachuna hadi mmebaki na boxer tuYani kwa jinsi mimi nilivyo ukikimbia utakua umenisaidia sna, coz huwa tunawaza sana tunawaacha vipi ? Bila kuwaumiza!!
Kwaiyo wanawake wote waliokataliwa watoto duniani walikua malaya eh?Mwanamke kama alikuwa kahaba au jamvi la wageni lazma mwanaume atamkataa mtoto maana lazma anaweza kuwa siyo wake, kumkimbia mwanaume akifilisika ni UJAMBAZI na USALITI, matokeo yake ni mauwaji ya kinachoitwa wivu wa mapenzi.
Unichune mpka nibaki na boxer nitakua nmesinzia au?🤣🤣🤣🤣🤣Na sisi hatuwazi kuwakimbia mkifulia wakati huo tumewachuna hadi mmebaki na boxer tu
SawaKama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Yule aliyekuacha na kuoa mwingine aliona mbali sana.Kama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Unawadanganya wenzio wakati wewe mambo safi😁Kweli kabisa, hakuna kuvumilia ujinga.
Natofautiana na wewe.Lawama zote ziende kwa yule boss wako aisee,, maana mental illness aliyokuacha nayo sio ya nchi hii