sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?
Hii kitu naishuhudia daily kila uchwao, kuna co worker anamlipisha mwanaume pesa za matumizi wakati si mtoto wake
Ni kwamba walioana vizuri tu nami nilialikwa kwenye sherehe kwa kuwa na ukaribu na co worker, kipindi hicho wanapooana huyu co worker bado alikuwa na mahusiano na na mwanume mwengine ambae alikuwa anakuja sana hapa kazini, wao huzuga kujiita marafiki lakini kwetu watu wazima tunajua jamaa anapiga, Aliacha utaratibu wa kuja baada ya mwenzake kuolewa.
Baada ya kuoana co worker akaanza kuweka status mara zinazoashiria hana amani kwenye ndoa, si muda mrefu akarudi kwao.
Kwa character ya mme suala hili liliacha viulizo maana huyo jamaa ni mtu mpole sana, mcha Mungu, ni msomi haswa na kaajiriwa moja ya taasisi ambayo inalipa vizuri tu lakini hana fujo wala mbwembwe.
Binti akajifungulia huko kwao lakini tangu ajifungue huyo mtoto hajawahi kuwa na baba yake nje ya geti, panapotokeo vikao vya kusuluhisha wakija ndugu wengine mtoto anafichwa anazungushwa huko town.
Sasa kuna siku kapost picha ya mtoto amekuwa kuwa yani ni copyright ya huyo jamaa mwengine.
Ndipo ukagundulika mchezo hapo kwamba binti alipoona mambo yanaweza kumuumbua akalianzisha varangati kuonekana ananyanyaswa ili iwe exit strategy ya kuondoka.
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?
Hii kitu naishuhudia daily kila uchwao, kuna co worker anamlipisha mwanaume pesa za matumizi wakati si mtoto wake
Ni kwamba walioana vizuri tu nami nilialikwa kwenye sherehe kwa kuwa na ukaribu na co worker, kipindi hicho wanapooana huyu co worker bado alikuwa na mahusiano na na mwanume mwengine ambae alikuwa anakuja sana hapa kazini, wao huzuga kujiita marafiki lakini kwetu watu wazima tunajua jamaa anapiga, Aliacha utaratibu wa kuja baada ya mwenzake kuolewa.
Baada ya kuoana co worker akaanza kuweka status mara zinazoashiria hana amani kwenye ndoa, si muda mrefu akarudi kwao.
Kwa character ya mme suala hili liliacha viulizo maana huyo jamaa ni mtu mpole sana, mcha Mungu, ni msomi haswa na kaajiriwa moja ya taasisi ambayo inalipa vizuri tu lakini hana fujo wala mbwembwe.
Binti akajifungulia huko kwao lakini tangu ajifungue huyo mtoto hajawahi kuwa na baba yake nje ya geti, panapotokeo vikao vya kusuluhisha wakija ndugu wengine mtoto anafichwa anazungushwa huko town.
Sasa kuna siku kapost picha ya mtoto amekuwa kuwa yani ni copyright ya huyo jamaa mwengine.
Ndipo ukagundulika mchezo hapo kwamba binti alipoona mambo yanaweza kumuumbua akalianzisha varangati kuonekana ananyanyaswa ili iwe exit strategy ya kuondoka.
Hivi mwanamke anakuwa na roho mbaya kiasi gani mpaka amfanyie huu uhuni mme wake ?