Kama DPP haondolewi ofisini mpaka afanye makosa au awe na tatizo la kiafya, Rais kamuondoa katika mazingira gani?

mistake ya kwanza aliyofanya ni kukumbatia baraza la mawaziri lililoundwa na marehemu pombe.
Mkuu Mchambuzi, Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni! Mazaa hata angevunja lile baraza, hilo jipya angelisaka kwenye kichaka kile kile, kilicho patikana kupitia uchafuzi ule! Lazima tuwe realistic, Mazaa hawezi kubadilisha vitu overnight! Hata Lisu angeshinda, kuna mambo ingebidi aende nayo taratibu.
Kuhusu Mganga, hata mimi sijaridhika, lakini how many people are you going to be able to please, at the same time! Mazaa anaweza kuwa anakosea lakini ni vizuri tukamhukumu katika long run, na siyo sprint! Kwa mfano: ⏱baya akipitiwa na ridandasi, mimi ntamsamehe Mazaa kila kitu, hata lile benzi!
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
amempa Demotion, kumbuka watu wamepiga sana za pulii-bwageiningi, sasa kumfukuza hakuna sababu, kapewa ujuaji, alafu baadae anapewa tume ya utawala bora azeekee hapo na mafaili.
 
Mpe uhuru wake wa kutoa maoni
Mkuu, jamaa anao uhuru wote, sema tatizo la huyu cremia, anafanana na zile on-speaker wanazo tumia wamachinga, “sumu ya paanyaa, yaa mendee, jiwe la nyooka, inapatika!” Amekariri kitu hicho hicho, hiyo komenti yake ipo kwenye kila uzi humu ndani!
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.

Hakuna sheria inayomnyima DPP haki ya kuteuliwa kutumikia taifa letu katika role nyingine. Appointment to the DPP position is no bar to one’s career advancement. Vilevile, DPP alikuwa na haki ya kukataa uteuzi mpya na kuendelea kuwa DPP, kama angependa hivyo.

Hiki kitu sio unique kwa Tanzania. U.S. Attorney General wa sasa (wa Rais Biden) alikuwa Chief Judge of the United States Court of Appeals for the District of Columbia Circuit. Kwa taarifa yako, U.S. federal judge hana retirement age. Unless amekuwa appointed to another role, amejiuzulu (amestaafu kwa hiari yake) or amekuwa impeached and removed from office, U.S. federal judge ni farasi anayepiga mzigo mpaka kufa kwake.
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Ni bora umehoji kwa kutumia kona ya kisheria ambapo inatakiwa itamkwe bayana Biswalo Mganga kitu gani alichokifanya kati ya haya yaliyoainishwa na sheria

1. Ugonjwa
2. Makosa ya kimaadili
Reference Section 19, subsect 2, 3 clauses a & B

Vinginevyo chuki binafsi zinazoenezwa mitandaoni ama kutumwa jumbe kwa mkuu wa nchi anazifanyia kazi bila kuchunguza kwamba ni chuki binafsi kutokana na waathirika wa makosa waliyoyatenda au wanasiasa kutumika kuchafua aliyekuwa amemuteuwa kwa sababu na malengo maalum mwisho wa siku aliyetengua au kuchengesha kwa mtindo wa kuteua kuwa jaji ataachwa pekee mambo yakiharibika.

Haiingii akilini kiongozi uanze kujitengenezea maadaui miongoni mwa watu walioukuwa chini ya mtangulizi wako na wewe kuwa sehemu yake.

Tabia ya kuchezea watendaji waliowawezesha kufika hapo mlipo kwa nyodo kisa mamlaka ni ubatili na kujilisha upepo.

Mh Rais anachochewa sana sasa hivi na wapinzani wa chama tawala na yeye anatenda kuwafurahisha lakini itakapofika kwenye kura hawatamsaidia chochote ila hao anaowashughulikia wataamua hatima.

Kiongozi sio kwamba ni mtu mwenye akili sana kuzidi anaowaongoza ila ni kipaji tu cha kuongoza njia iliyo sahihi, kurekebisha na kusikiliza mahitaji yao kwa manufaa ya taifa kisha kufanya maamuzi yasiyochochewa na chuki na uzandiki miongoni mwa wafuasi.

Hata kama akipangua baraza zima la mawaziri na kuteua wapya ambao watakuwa watiifu kwake, atawatoa kutoka sayari gani wakato hao wote ambao bado hawajashirikishwa kwenye baraza walikiri kwa vinywa vyao kwamba bila JPM hali likuwa ni tete na kwamba walihitaji kutaja jina lake tu na kupewa imani ya kuongoza?

Watu ambao amewaibua Mh Rais yeye mwenyewe kwa kuwateua ni Bashiru, Polepole, Mulamula na mwingine nimemsahau. Sidhani kama nafasi kumi za uteuzi wa rais bado zipo hao ndio loyal, wengine wote mwendo ni ule ule kasoro wachache ambao tangu wamu iliyopita walipigwa chenga kuteuliwa kuwa mawaziri kutokana na mienendo yao au mgongano wa kimaslahi.

Wananchi ni wa muhimu zaidi kuliko hao wanasiasa wanaopigana kwa kuchongeana kwa sababu ya kuneemesha matumbo na furasa za kiuchumi.
 
Amempandisha che kuwa jaji na ndio njia pekee ya haraka na rahisi kumuondoa ofisini hizi zingini ni mchakato mrefu lakini pia Biswalo huenda alisababishiwa yote hayo na mhimili mwingi na wala hakuwa yeye kama yeye, pengine ni mtu safi tu,hillo nalo mkae mkilizingatia wapo watu wengi tu kupitia awamu ya 5 wamechafuka sana ili kutimiza matakwa ya mtu.
 
Nawaza labda kwa kupewa ujaji ("any other reason"), maana yake atashindwa ku perform his functions as a DPP?

Alt: unaweza ku argue pia, hiyo "removed" kwa context yake ni kufukuzwa kazi. Lakini in this case, "amepandishwa" cheo.
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Kimeumana !
 
Huu uzi unawachanganya watu sana, hawajui watetee nini; wasimame na sheria wakandamizaji warudi ofisini, au wakandamizaji waondoke ofisini kwa sheria kuvunjwa? maswali magumu hayajibiki.
 
Huyu tutamuondoa kupitia waganga wa kienyeji hii ya kisheria itatuchelewesha sn
Ahahahahah! Nasikia hata Lissu mlitaka awe Rais wa Tanzania kupitia waganga was kienyeji. Nafikiri huenda Lissu alikosea masharti! Ahahahahahah!
 
Huu uzi unawachanganya watu sana, hawajui watetee nini; wasimame na sheria wakandamizaji warudi ofisini, au wakandamizaji waondoke ofisini kwa sheria kuvunjwa? maswali magumu hayajibiki.
we ndo nimekuelewa kwamba watanzania tuna ka ujinga ka asili kwamba kama mtu hawampend hata sheria za kumshughulikia si lazma. na kama wanampenda hata sheria za kuwaongoza si lazma. kuna tatzo kubwa sana la kuheshim sheria, kanuni na taratibu. hii nchi ni rahisi kila mtu kuwa kiongozi mana unahitaji tu mob na si sheria. ( niliwai kutana na huu msemo kw movie. I like this country because: THE COUNTRY IS LAWLESS, BEER IS CHEAP AND WOMEN ARE WILLING)
 
Mama watu wema kwake walimshauri aunde upya goverment yeye akajidemka akasema yeye ni kama aliye enda zake sasa ule muendelezo wa kuvunja katiba na kudemka unaendelea kama kawa from 14 badala ya 21 za maombolezo, Wakalimani n.k sasa hakuna ulazima wa kuapishwa kuwa kiongozi wa Tanzania maana unavunja tu sheria kama upo hotelini unachagua cha kula
 
Back
Top Bottom