Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 170
Kwani Baba Mkwe wako yuko wapi?
Alifariki siku nyingi nyuma
Inavyoonekana huyo mkweo hajapata chakula cha usiku toka afiwe na mumewe na pia hakuwai kutongozwa na wanaume wengine. Hiyo imekuwa ni kama zari la mentari kwake. Kaka yako kategwa naye kategeka, acha wajilie vyao, kumbuka ng'ombe hazeeki maini. Ila hakikisha kuwa mkeo hajui, akijua itakuwa msala, unaweza ukaachwa!!!!!!!!!