walikuwa sebuleni? kama walikuwa wanamegana chumbani anakolala mama mkwe wewe una matatizo makubwa kuliko kaka yako. ulikwenda kufanya nini chumbani kwa mkweo?Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake. Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu. Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Umeona ehhNi vizuri wakupishe.....ipo siku utakuta na mke wako kaliwa