Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Imuume wapi? Sana saaana waweza kukuta alisimamisha mjenenge alipowakuta siku ile

haya mambo haya.....

Hahahah arif naona unarusha ngumi jiwe.. Angalia usimhamishe meza.

Bado uko Bosnia au usharudi kisiwani?
 
Uliwakuta wanajimega sebuleni,afadhali yeye kaona nyege amalizie kwa mama mkwe wako kuliko ungekuta yupi juu ya kifua cha mtoto wako
 
Aaanh mi hata sielewielewi hapa naona kama sijui hawajatenda sawa labda lakini sio ndugu hawa pia!!!!!!!

Wote watu wazima,hivi mke akijua hasira napeleka kwa mama yake mkemwenza ,mumewe bamdogo au kwa shemeji baba!!!????

Hili tunda hili tutasikia mengi kwa kweli!!!!!!!

Nimewahi kusikia jamaa alimega mtu na dadake dada alipogumdua hakumwambia mdogo wake ila alijitoa kimya kimya sababu yeye ndio alikuwa new comer na ndio alimzimia jamaa bila kujua!!
 
duh!..kaka yako ana umri mkubwa kuliko mama mkwe wako...hilo mama mkwe ni dizaini ya akina ISHA MASHAUZI...
 
Kama huyo kaka kamla mkwe wako,ataona vp kazi kutembea na wife wako?? Open your eyes,hana adabu ni bora wakafanye upuuzi wao mbele ya safari,ila ndani kwako?? Duh kweli binadamu tunatofautiana
 
Aaanh mi hata sielewielewi hapa naona kama sijui hawajatenda sawa labda lakini sio ndugu hawa pia!!!!!!!

Wote watu wazima,hivi mke akijua hasira napeleka kwa mama yake mkemwenza ,mumewe bamdogo au kwa shemeji baba!!!????

Hili tunda hili tutasikia mengi kwa kweli!!!!!!!

Nimewahi kusikia jamaa alimega mtu na dadake dada alipogumdua hakumwambia mdogo wake ila alijitoa kimya kimya sababu yeye ndio alikuwa new comer na ndio alimzimia jamaa bila kujua!!


Nimeona busara dada mkubwa tu hapo nilipo bold!
 
Jua na mkeo atakuwa kama mama yake.............ila angalia isitokee mapema kabla hujafa:A S-confused1:!!!!!!
 
Busara ni kutoka bila kumueleza mdogo wake!!!!!!

Kwa hivyo affair imeanza leo kesho unaita kikao cha familia kuwapa taarifa! Inahuu?
Vipi kama walikubaliana kula good time tu then kila mtu ashike njia yake?
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Acha amegwe tu, hakuna namna nyingine!
 
Kwa hivyo affair imeanza leo kesho unaita kikao cha familia kuwapa taarifa! Inahuu?
Vipi kama walikubaliana kula good time tu then kila mtu ashike njia yake?

Unamdogo wa kike tuingie maabara kwa practical???!!!!
 
Washauri tu waende gest wasipige mechi zao hom kwako, ila km wameridhiana waache tu , we hayakuhusu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom