Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,795
Duuuuuhhhhh!!! Hii ni ngeni masikioni mwangu
ujasiria ngono
ujasiria ngono
Waacheni wajipe rahaaa! wakipeana mimba Kiranja mkuu utapata sasa sijui atakuwa shemeji yako huyo mtoto wao!??:A S 13:
Hamna dhambi tamu kama uzinzi..
hao wote ni wazinzi na ni washerati, waache waendelee kupooza mioyo yao, ila wakipata gono sijui sura zao watazifichia wapi?
Mama mkwe anamegwa sebuleni kwa watoto wake?!!!!!!!!! Kuwa makini maana mkeo atafundishwa hivyo....!Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Hamna dhambi tamu kama uzinzi..
hao wote ni wazinzi na ni washerati, waache waendelee kupooza mioyo yao, ila wakipata gono sijui sura zao watazifichia wapi?
Hapo shida iko wapi? We si una wakwako mwache na yeye aendelee kubemendwa.Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
pole dogo,kaa na bro mtete.
Je, bro naye ni mjane?
Wewe je umeoa au ndio kusaidiana maisha?
Sipati picha ya mama mkwe kuwa mdogo kuliko bro wako!
Rabekaaaaaaaaaa mwananguu.MAMA MKWEEEEEEEEEEEEEeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee