Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
kaka hiyo ni noma! ongeza ulinzi kwa wife
si unajua waswahili husema mtoto wa nyoka ni nyoka
Kwa hiyo akiongeza ulinzi atageuka mjusi?
kaka hiyo ni noma! ongeza ulinzi kwa wife
si unajua waswahili husema mtoto wa nyoka ni nyoka
Mpwa siku hizi thanks hutoi kabisa Malaria Sugu kakuloga nini?
hii point muhimu sanasi bora kammega ma mkwe?ulitaka ammege mkeo?
ni jambo la aibu!
wote kuoa sehemu moja!
kwa vile umemzoea kaka yako,huyo ndio uongee naye..
mwambie jinsi lilivyo jambo la aibu na mkeo akijua jinsi atakavyoghafilika,...
au ongea na mkeo aongee na mama yake..,
wasiwaibishe kama ni ukame wakatafute wapenzi huko nje!
mijitu mingine sijui ikoje...haina aibu!
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Kama ulikuwa huna mpango wa kumega huyo ma'mkwe nadhani ongeza heshima kwa kaka yako maana sasa ni Kaka-mkwe
Wewe unataka mama mkwe ashughulikiwe na nani? Na unaambiwa baba mkwe alisha fariki hivyo basi mama mkwe anaukakasi kibao
mhh!!! Inaonekana wageni wako umewawekea geti kali/mbwa mkali hivyo uvumilivu ukawashinda. Hata hivyo wote wana makosa, jitahidi kila mmoja wao arudi kuwajibika nyumbani kwake maana hayo ni matokeo ya kula na kulala.
hata wanaobaka hutafuta reason kujustfy upuuzi wao,
sijamkataza asiwe na mtu ila sio shemeji yangu!
kama kashindwa kutambua mipaka kwa shemeji yangu...next time itakuwa kwa mume wangu!...napo atasema sio kabila moja,au ukame ulimsukuma...
hili jambo liko sooo wrong..
hata wanaobaka hutafuta reason kujustfy upuuzi wao,
sijamkataza asiwe na mtu ila sio shemeji yangu!..
Fab unanichanganya...yani Kiranja Mkuu ndio hubby?
Case closed!!!!
Rev, hii ina maana unayoilenga?
hahhaaaa nimevaa uhusika tu hapo,
ukitaka kujibu hii mada vizuri lazima ujiweke kny mazingira yao...(ya kiranja mkuu na mkewe ofcourse)
Jamaa anaona wivu Bro kamuwahi! Aache kulalama
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Jamaa anaona wivu Bro kamuwahi! Aache kulalama