Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hii kituo kipo karibu ila haina station jombe et inalala na kuamkia safari Bali inapita hyo ni TAZARA

kingine hakuna huduma ya ndege Kwa abiria ila KAHAMA. uwanja upo na ni route abiria wanapanda

Mbeya Kuna uwanja lakin ndege at haziend maana wanyakyusa na ndege vitu viwili tofaut hivo ndege znajaa anga la lake zone Kila muda

Amukeni pimbi nyie
 
Hapo ndo mwanza tena kwa mwanza hiyo ndo tuseme sehem ya chini lakn kwa mbeya nadhani hata hyo hawana..Ni full kutu mwanzo mwisho
Hawana ni aibu mm mbeya sio kusimuliwa nimetoka nina miezi miwili TU yaan ukifka hutaman kwanz stand TU unaweza Ganda Kwa gar ukahisi safar bado Sasa ingia mtaani utaskia uhindini ukifika ni kama sisi mwanza mtaa wa kisesa na tena kisesa Ina maghorofa wao hamna halafu ukabila mwingi kama sio mzawa ukitoa hoja hata ni chanya wanakataa ila akitoa mzaliwa hata ujinga utaskia wanaunga mkono na hicho kimefanya watendaji wengi kuigaya mbeya ikawa ya hovyo
 
Iringa wana cbd nzuri lakini si mji mkubwa kama kahama.
Kaka amka usingzin utakuja kukojoa kitandani ya iringa ufananishe ukubwa na kahama polee sanaa kahama imeizd iringa watu na mapato tu vingne vyote nothing imepata hadhi ya manispaa juzi tu haina hata miaka mi5 uje ufananishe mji uliokiz level za manispaa miaka ming iliyopita
 
KAHAMA inapaswa kushindana na IRINGA na sio MBEYA,NJOMBE,RUVUMA,LINDI
Njombe region again
FB_IMG_16733261264850101~2.jpg
1(0).jpg
298609308.jpg
 
Kahama Ni big slum Hakuna Mji Kati ya hiyo hapo Juu inaweza linganishwa..

Kimji gani hicho kimejaa mavumbi na mabanda eti Manispaa,Hilo Ni gulio size yake Ni Tunduma.
Kahama ikifka level hzi basi tutapata shida tafuta miji mikubwa tanzania

1 Dar 2 Mwanza 3 Arusha 4 Mbeya 5 Dodoma 6 Tanga 7 Moro 8 Iringa 9 moshi
 

Attachments

  • inbound801690792102620907.jpg
    inbound801690792102620907.jpg
    238.4 KB · Views: 8
Back
Top Bottom