Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tunza beach and resort
1678446384004.jpg
 
Huu SI wakati WA hadithi leta picha
Ubishi ambao Hauna maana kusini huwez linganisha na lake zone ata kidogo lake zone Iko juu hat ikiwa nchi inajitosheleza Kila kitu kipo na inasomga mbele na miji imeendelea sana pia at viongoz wanapendelea sana lake zone maazimisho na matamasha pamoja na ziara maana watu wengi pia wanakuwa na nguvu kuongea Kwa kuwa maendeleo yapo ila kusini aliyewakumbka alikuwa hayat MAGUFULI ndo kaikumbka sana kusini kaweka Barabara adi home Kwa hayat mkapa, pia kaweka hospitali mtwara kajenga lami.

Kumbka huku lake zone ukiongelea ruvuma ambayo ndo SONGEA na hiyo Lindi watu hawajui kama Kuna watu wanaishi huko maana hata haiongelew sana Kwa habari

Pia nakumbka kipindi flan walisema maendeleo yawe kikanda lakin ilipingwa na kusema Kuna ukanda watakufa njaa hasa mkoa wa ruvuma Hauna mapato Wala chochote Cha maana hivo inabebwa kishikaji na ndio maana Pako doro,,

Namaliza kusema mtaongea sana ila KAHAMA sio mchezo mm mwenyew nashangaaga huu mji ni balaa sana na ndo maana wasanii wakipiga festival lazima wafike KAHAMA Bora waache mikoani lakin KAHAMA. Lazima

Kuna majengo hatari,,supermarket,mahoteli ya maana ad mashirika makubwa yamewekeza hapo kama NSSF ambapo kusini hamna ad mbeya ndo wamejenga juzi TU NSSF,hii ni kuangalia wajenge Kuna Nini?

Kahama mitaa kama yote Ina lami japo sio ya kiwango sana baadhi ya mitaa lakin Ina lami,
Ina milk stand ya malori yote afrika mashariki

Cha mwisho Kaa ukijua KAHAMA ni mji wa biashara
 
Shinyanga idad ya magorofa 358.
Njombe 322.

Acheni ujinga magorofa sio tija nyie wehu .Kama gorofa ni kitu cha msingi pwani na morogoro yangekuwa majiji kabla ya mbeya.
SAFi Sana mkoa wa njombe mikoa ya ambao hawajitambui ni kuikanyaga tu wAcha project ziendelee
IMG_20230309_172040_447~2.jpg
Eft9jxcWAAAEqjd.jpg
 
Huu SI wakati WA hadithi leta picha
Ndo umetoka usingizini au hujaona picha zote et hadithi tatizo umbilikimo wenu unawafanya adi akili kudumaa zinawaza pafupi ulinganishe lake zone nyanda za juu kusini utajiri HIVO mnakielewa msemacho kina TU lake zone ukiskia unajua eeeh Kuna mambo
 
SAFi Sana mkoa wa njombe mikoa ya ambao hawajitambui ni kuikanyaga tu wAcha project ziendeleeView attachment 2544603View attachment 2544606
Unasifia nn wakak magorofa shy ni Zaid ya ruvuma ambay at mtu ukimuuliza ruvuma wanazalisha Nini utampiga uue hajui ila uliza lake zone wanazalisha Nini mapema Sana unapewa majibu

Halafu hapa sio Capetown au newzaland but ni lake zone cheki palivo
IMG-20230310-WA0112.jpg
IMG-20230310-WA0111.jpg
IMG-20230310-WA0113.jpg
 
Ndo umetoka usingizini au hujaona picha zote et hadithi tatizo umbilikimo wenu unawafanya adi akili kudumaa zinawaza pafupi ulinganishe lake zone nyanda za juu kusini utajiri HIVO mnakielewa msemacho kina TU lake zone ukiskia unajua eeeh Kuna mambo
Kansa ya akili Ina kusumbua porojo hatutaki tunataka fact hayo maneno hatu taki hizo ni kama story za vijiwen go njombe go
FB_IMG_16767159971213100.jpg
 
Tatizo mlichelewa sana Sasa unapost majengo ya hospitali,shule wakat Kila mkoa na Kila wilaya yapo tena wilaya zingine yapo kitambo kwenu mnaona fahar kweli nyie bado sana haya mm skupi shule Wala hospital nakupa mijengo ya mji kabisa cheki
Screenshot_20230310-134507.jpg
Screenshot_20230310-134549.jpg
Screenshot_20230310-134100.jpg
Screenshot_20230310-134042.jpg
Screenshot_20230310-133910.jpg
Screenshot_20230310-133659.jpg
Screenshot_20230310-133430.jpg
Screenshot_20230310-133804.jpg
Screenshot_20230310-133127.jpg
Screenshot_20230310-133517.jpg
Screenshot_20230310-132952.jpg

Kansa ya akili Ina kusumbua porojo hatutaki tunataka fact hayo maneno hatu taki hizo ni kama story za vijiwen go njombe go View attachment 2544619

Screenshot_20230310-132036.jpg
Screenshot_20230310-131507.jpg
Screenshot_20230310-133326.jpg
Screenshot_20230310-131657.jpg
Screenshot_20230310-131203.jpg
Screenshot_20230310-131119.jpg
 
Hivi kusini hamjiulizag Kwa Nini kampen zikianza nguvu huwa ni lake zone,kaskazin lakin kusini wanaendaga mbeya TU kidogo hii inatoa na kuonesha huko hamna Kila kitu Sasa at mbeya waliipa Jiji Ili msionekane mnatengwa ukanda wenu ila hyo mbeya ni hovyo Bora IRINGA. ingekuwa city kuliko mbeya
 
Hivi kusini hamjiulizag Kwa Nini kampen zikianza nguvu huwa ni lake zone,kaskazin lakin kusini wanaendaga mbeya TU kidogo hii inatoa na kuonesha huko hamna Kila kitu Sasa at mbeya waliipa Jiji Ili msionekane mnatengwa ukanda wenu ila hyo mbeya ni hovyo Bora IRINGA. ingekuwa city kuliko mbeya
Kwa sababu huko ndiko Kuna ng'ombe wasiojitambua wamerundikana kwenye mazizi wanaita nyumba😁😁

Wanasiasa wanajua Nyanda za Juu tunajitambua hawawezi kuleta upuuzi huku.
 
Kwa hiyo Shinyanga ndio imeisha hivyo?
Yaani Njombe imewapiga in and out 😁😁

Sijagusa Songea ujue.
FB_IMG_1678415769706.jpg
FB_IMG_1678415658132.jpg
FB_IMG_1678415683142.jpg
FB_IMG_1678415713689.jpg
FB_IMG_1678415758135.jpg
 
Hili jengo ni la NHC lipo dsm kweli njombe imewashika pabaya hadi mmeanza kuchukua picha za gorofa za dar mkoa wa shinyanga unafahamika gorofa zenye floor kuanzia Tano zipo mbili njombe imesha waacha mbali mzee
0-HQ_3.jpg
 
Back
Top Bottom