Ukitoa ukubwa wa kieneo mbeya ni kijiji mbele ya morogoro hata kwenye ligi ya hotel za nyota tano mbeya ndo haiifikii Moro hata kwa asilimia 1%
Hats ndugu zangu wa arusha mjiangalie vizuri kwa hii kasi ya ukuaji na uwekezaji wa Moro Luna Siku mtalia
Halafu Geita wanalilia kuhunganishwa na Kahama kwa barabara ya lami Wabunge Geita ‘wamlilia’ Rais Samia ujenzi barabara Geita-Kahama Aaiseee 😄 😄 😄 😄 😄 . Kahama ni zaidi ya hizo keep left, na hiyo miundo mbinu itafuata Kahama yenyewe serikali ipende isipende kama vile mabank yanavyopigana vikumbo kutafuta fursa Kahama,Kuna vitu vina umuhimu kwenye miji check hapo geita na kahama geita inaonekana
View attachment 2445467View attachment 2445475
Naliona jiji la mchongo kwenye ubora wake



Acha kuchekesha watu ebu tuletee mji wa nyanda za juu kusini ambao ni bora kuliko kahama.Kuna vitu vina umuhimu kwenye miji check hapo geita na kahama geita inaonekana
View attachment 2445467View attachment 2445475
Hii mbeya na town ya kahama wapi ni bora?
Bora kahamaHii mbeya na town ya kahama wapi ni bora?
Kwa ufupi nyanda za juu kusini kuna mji mmoja tu wa kueleweka nao ni Iringa. Kwingine kote ni michosho tu.Acha kuchekesha watu ebu tuletee mji wa nyanda za juu kusini ambao ni bora kuliko kahama.
Hivi walitumia standard gani kuipa hadhi ya jiji au ni population?Bora kahama
Iringa wana cbd nzuri lakini si mji mkubwa kama kahama.Kwa ufupi nyanda za juu kusini kuna mji mmoja tu wa kueleweka nao ni Iringa. Kwingine kote ni michosho tu.
Kuna vitu vina umuhimu kwenye miji
Halafu Geita wanalilia kuhunganishwa na Kahama kwa barabara ya lami Wabunge Geita ‘wamlilia’ Rais Samia ujenzi barabara Geita-Kahama Aaiseee 😄 😄 😄 😄 😄 . Kahama ni zaidi ya hizo keep left, na hiyo miundo mbinu itafuata Kahama yenyewe serikali ipende isipende kama vile mabank yanavyopigana vikumbo kutafuta fursa Kahama,
check hapo geita na kahama
Nilikuwa sijapitia uzi wa dar vs Nairobi, yaani nacheka peke yangu mbeya inavyopekenyuliwa😂😂