Na vijua Sana Kwan mji si unaanzia kwenye tarafa ndo maandaliz hayo mzee hawaja weka zone hizo kiboya ujue tayari vichwa vimesha umiza kuwa lazima makao makuu yaje kuwa na manispaa kadhaa mbeleni saiz mikoa inayo jielwa inafanya hivyo na hii inachochea Sana maendeleoHuo si mgawanyo wa tarafa za wilaya ya dodoma..HIV unajua vigezo vya manispaa wew au unaongea tu




