KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Unahangaika ew kenge mjamzito sisi unataka tukupe Raman na masta plan za mikoa na wilaya so utachachawa kama njombe mkoa lakin imepigwa na kahama ambayo ni wilaya
Kweli ew kenge mfupi nitajie tajir yeyote kutoka kusiniKahama imeizidi Njombe hao maskini waojazana hapo hakuna kingine na wewe unajua
Jiji lote la mwanza huwez Kuta Banda la nguruwe kenge mjamzito ewe,, unapost mbeya iliyopat lift juzi mabat yote kutu yaan ni takataka kabisaYale mabanda ya nguruwe humo milimani ndio nyumba zenu? 😁😁
Mkoa wa shinyanga umekaa Sasa geita ndo itafanya Ninisiku zingine mnapoleta maada humu muwe mnaangalia hadhi ndo mnalinganisha ..Yaani huwezi linganisha manispaa na mji ..Labda ungelinganisha mji wa geita na mji wa njombe hapo ingekaa vizuri
Umakaa kwa kigezo kipi ?? yaani unatuzidi nini sisi tuna manispaa mbili we hauna we vipi jielewe basiMkoa wa shinyanga umekaa Sasa geita ndo itafanya Nini
Kwa kipi hasa? Tuoneshe naona mnatumia sana mdomo.kuliko.picha na takwimu 🤪🤪Kahama ilinganishe na iringa kwa huko kusini lakini hzo wilaya zingine ukitoa mbeya ni kama zuwena tu
Wanaleta bas halafu hawana hoja wanamilikiwa na jamaa mmoja kawaoa wote SUPER FEO na anaendesha anavotaka hawana pakwenda gar ni hizo tyu mikoa ya njombe na ruvuma ni huruma waje kahama waone matajiri wametandaHalaf nlichogundua njombe mnabishana bila fact .. Asa unapoleta mabasi kwani kahama hayapo ?? ? leta vitu vya msingi
Unajizima data picha tushapost usijitoe upofuKwa kipi hasa? Tuoneshe naona mnatumia sana mdomo.kuliko.picha na takwimu 🤪🤪
Wewe ni kajinga na umedandia treni Kwa mbele..Jiji lote la mwanza huwez Kuta Banda la nguruwe kenge mjamzito ewe,, unapost mbeya iliyopat lift juzi mabat yote kutu yaan ni takataka kabisa
Ziko wapi? Uzi umejaa picha za Njombe tuuUnajizima data picha tushapost usijitoe upofu
Kama utajri inajulikana wazi kuwa matajiri wengi kwa Sasa wanatoka njombe ushahidi nenda kariakooWanaleta bas halafu hawana hoja wanamilikiwa na jamaa mmoja kawaoa wote SUPER FEO na anaendesha anavotaka hawana pakwenda gar ni hizo tyu mikoa ya njombe na ruvuma ni huruma waje kahama waone matajiri wametanda
Saizi Feo anawapelekea moto huko huko Usukumani kaja kuwatoa ushamba.Wanaleta bas halafu hawana hoja wanamilikiwa na jamaa mmoja kawaoa wote SUPER FEO na anaendesha anavotaka hawana pakwenda gar ni hizo tyu mikoa ya njombe na ruvuma ni huruma waje kahama waone matajiri wametanda
Ndio maana nakwambia ukipunguza ujinga utapata akili.
Target ni bil.8, Makusanyo halisi yatafika 13. plus hiyo ni Asilimia ngapi ya lengo?
Mwisho unatakiwa uongoze Kwa pesa sio Asilimia harafu pesa huna 😂😂
Sisi huku tuna allys satco frester yaan zimejaa ni rundoSaizi Feo anawapelekea moto huko huko Usukumani kaja kuwatoa ushamba.
Unaelewa kusoma? Kambishie PM basi mapovu Sina pa kuyawekawe jielewe kuwa kama msomi ..Lini ushawah kuongoza mapato na ukazidi wilaya zote tz..Hata baba yenu mbeya hajawahi
Hizo ni manispaa jina hazina maendeleo yoyote shida wameona mmejazana tuUmakaa kwa kigezo kipi ?? yaani unatuzidi nini sisi tuna manispaa mbili we hauna we vipi jielewe basi
Mbumbumbu nyie luxury mumeanza kuziona mwaka Jana mwishoni 😁😁Sisi huku tuna allys satco frester yaan zimejaa ni rundo