Sehemu za burudani njombe zipo za kutosha mzee![]()
![]()
![]()
na hyo ni lounge??
Sio tatizo lao ni uhaba wa majengo ya gorofa Hawajui mengine ni makazi ya watu au ofisiHuduma,, kahama wanadhani ikishakua ghorofa basi ni hotel
Kwani serikali haikupata kodi hapo we vipiHii sio point ya maendeleo Bali ni Chaka la kujifariji tu
Mbona ni kama vibanda vya mama mtilie tu
Serikali Iko kwenye process ya kujenga meli zingine 3,ya Abiria 1 na mizigo mbili ndio maana unaona Kuna ujenzi mkubwa wa MbambaBay PortHaya mkoa wa njombe usafiri wa meli wap jangwa la shinyanga
View attachment 2545455View attachment 2545456
Sisi tuna miradi mikubwa ya matrioni ..Taja ni mradi gani wenye thaman hata ya bilioni 800 huko njombe na kusini kwa ujumla.Haya mkoa wa njombe usafiri wa meli wap jangwa la shinyanga
View attachment 2545455View attachment 2545456
Kahama ni Manispaa jina tuu aliyowapa Jiwe ila Haina lolote..Asa tunduma ni wilaya sio manispaa kwa hyo haziwezi kulngana na kahama
Huo ni utani na sio uhalisia kama itashindwa kufutwa tanga kwenye list ya majiji basi mbeya haiwez kufutwaMbeya ishapitwa na dodoma now mbeya ni ya tano nazan itafutwa kwenye list ya majiji soon
Alaf kuna kenge mmoja anafananisha lake zone na southern zone,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya angalieni mkoa wenu wa shinyanga ni WA ngap tunavo wambia watu wa huko ni maskini nyie mnakimbilia kuangalia migodi iliyowekezwa na wazungu na Kodi inakusanywa na tra afu ndo uje ushindane na njombe ambao pesa inamilikiwa na wananchi akili hazikutoshi maendeleo njombe yatazidi kukua zaidi wananchi wake ni wachapakazi Sana shinyanga Ina migodi miaka mingi lakini mkoa wa juzi njombe umesha wapita mbali kimaendeleo mnaishia kufarijiana na makorongo na vumbi mliloachiwa
View attachment 2545479View attachment 2545480
Hotel gan ya maana kahama ufananishe na hotel za kitalii zilizopo iringaUchangiaji wa pato la taifa .Mahotel .
Kahama ni Manispaa jina tuu aliyowapa Jiwe ila Haina lolote..
Mwisho wewe unadhani Kahama inazidi Tunduma Kwa lipi?
Iringa imeizd kahama ukubwa wa mji iringa mji una kata 18 kahama kata 11 ni level za mafinga yenye kata 9 iringa imeizd kahama usafi mpangilio wa mji na huduma za kijamii mfano mashule hospital na elimu,miundombinu pia hali ya hewa ya kusini huwez kufananisha na lake zoneUchangiaji wa pato la taifa .Mahotel .
Hotel gan ya maana kahama ufananishe na hotel za kitalii zilizopo iringa
Mafinga ni wilaya .Mji au manispaa naomba jibu tafadhaliIringa imeizd kahama ukubwa wa mji iringa mji una kata 18 kahama kata 11 ni level za mafinga yenye kata 9 iringa imeizd kahama usafi mpangilio wa mji na huduma za kijamii mfano mashule hospital na elimu,miundombinu pia hali ya hewa ya kusini huwez kufananisha na lake zone
WE kenge ukiambiwa utaje hospitali kubwa tanzania hyo ni ya ngapi kama sio ya 20 huko..Inaanza muhimbili inafuata bugando zingne ndo znafuataLazima wanune maana kwao hakuna hospital kama hii View attachment 2545692