Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Via mbeya ...kama via ni kitu Cha kuringia .bas morogoro na kibaha wanapaswa kuringa sana maana wana via route nyingi San
Anyway..mwamba huyu hapa



Mwanza to Kampala
Via mbeya ...kama via ni kitu Cha kuringia .bas morogoro na kibaha wanapaswa kuringa sana maana wana via route nyingi San



Tulishakuambia mwanza ni level nyingine kwenye suala la transport,Mbeya haijawahi na haitakuja kuishiwa Bus mpyaView attachment 2446748


Ko hakuna gari inayoanzia safari Mbeya kwenda Harare?Dar-Harare via Mbeya 👇View attachment 2446745View attachment 2446746
Ko hakuna gari inayoanzia safari Mbeya kwenda HarareDar-Harare via Mbeya 👇View attachment 2446745View attachment 2446746
Ko hakuna gari inayoanzia safari Mbeya kwenda Harare
,


Leo mmebananisha kwenye Kona ..Hana pakutokea 


Hii ni Iringa , kweli ndyo inafananishwa na kahama 🤣🤣🤣 , aisee basi kahama pako vzr
Hiyo kaifananishe na mbeya huko .maana ndio saizj yakeHii ni Iringa , kweli ndyo inafananisha na kahama, aisee basi kahama pako vzr
Mkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .Hiyo kaifananishe na mbeya huko .maana ndio saizj yake
Kibiashara.kahama ni ya moto .Tena wa gas ....ila kimiundombinu.. iringa Iko juuMkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .
Kahama Ni big slum Hakuna Mji Kati ya hiyo hapo Juu inaweza linganishwa..Mkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .
Mbeya huwa.haifananishwi na takataka mnazoita Miji elewa Hilo.Hiyo kaifananishe na mbeya huko .maana ndio saizj yake
Siku ukileta CBD iliyotulia kama hii iringa.nitaacha kuilinganisha na mbeya na manispaa...Mbeya huwa.haifananishwi na takataka mnazoita Miji elewa Hilo.



Cbd ya Iringa Imeiacha mbali sana ya mbeyaSiku ukileta CBD iliyotulia kama hii iringa.nitaacha kuilinganisha na mbeya na manispaa...View attachment 2446970View attachment 2446971View attachment 2446973View attachment 2446975View attachment 2446977
Mbali mnCbd ya Iringa Imeiacha mbali sana ya mbeya
Ndio excuse pekee mloyobaki kujifariji kwa kuvurugwa na slums na mabanda ya nguruwe 😁😁Cbd ya Iringa Imeiacha mbali sana ya mbeya