Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Via mbeya ...kama via ni kitu Cha kuringia .bas morogoro na kibaha wanapaswa kuringa sana maana wana via route nyingi San
Anyway..mwamba huyu hapa
Mwanza to Kampala
20221214_194800.jpg
20221214_194742.jpg
Screenshot_20221214-194755.jpg
Screenshot_20221214-194603.jpg
 
Mwanza ukiacha dar ni jiji lenye base na HQ ya shirika la ndege ....
Pride of mwanza usijikute huoni ..niletee shirika la ndege lenye base songwe airport
20221214_194409.jpg
20221214_194320.jpg
Screenshot_20221214-194244.jpg
Screenshot_20221214-194434.jpg
 
Hiyo kaifananishe na mbeya huko .maana ndio saizj yake
Mkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .
 
Mkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .
Kibiashara.kahama ni ya moto .Tena wa gas ....ila kimiundombinu.. iringa Iko juu
 
Mkuu nimeshutuka kuna mtu huko mwanzo ndyo alisema hivyo kuwa kahama haistahili kufananishwa na mikoa ifutayo akataja Iringa, kigoma sumbawanga na songea nadhani . Ikabidi naanze kuifikiria hiyo kahama jinsi ilivyoo nikaona inaweza kuwa yamoto snaaa kahama .
Kahama Ni big slum Hakuna Mji Kati ya hiyo hapo Juu inaweza linganishwa..

Kimji gani hicho kimejaa mavumbi na mabanda eti Manispaa,Hilo Ni gulio size yake Ni Tunduma.
 
Back
Top Bottom