Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbumbumbu nyie luxury mumeanza kuziona mwaka Jana mwishoni 😁😁
Akili Yako fupi kama ulivo huku magari yote luxury tena mengi scania na sio mchina za super feo mnamuita MFALME kusini, huo ujinga Kanda yote muolewe na mtu mmoja kweli amken kondoo nyie
 
Wewe ni kajinga na umedandia treni Kwa mbele..

Tumepost sana mauswazi ya Mwanza na Sina mda wa kurudia kama unabisha leta picha yeyote ya aerial nikuoneshe.
Halaf wanapata wapi ujasiri wa kulinganisha mwanza na mbeya yaani mwanza jiji la pili kiukubwa tz na moja kati ya majiji makubwa africa ndo ulinganishe na mbeya ???
 
Akili Yako fupi kama ulivo huku magari yote luxury tena mengi scania na sio mchina za super feo mnamuita MFALME kusini, huo ujinga Kanda yote muolewe na mtu mmoja kweli amken kondoo nyie
Nabishana na mtoto aliyetolewa nepi majuzi juzi..

Endelea kujadiliana na wanuka mikojo wenzio.
 
Wamezidiwa mbali na njombe wasituletee porojo hapa
Njombe kuizid kahama sahau maana huko mmelala sana kama kondoo amuken mchangamkie fursa na sio super feo awe MFALME kusini yaan kampun moja tu kutwa mnalialia mtandaon et anawaonea anajipangia Bei na mizigo Sasa so mnunue nanyi kenge wajawazito nyie au umaskin unawasumbua
 
Uchafu uliopost huu Kwa mwanza ni sawa na mabatini uswahilini ndo leval ya picha zote ulozopost maana at mtaa wa H- BABA hapa mwanza unawakalisha nyie mbeya
downloadfile(47).jpg
 
Back
Top Bottom