Kafulila: Utulivu wa kisiasa wa Rais Samia umekuza Uwekezaji mauzo ya nje yameongezeka kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl sawa na TZS 35Trilion

TaiPei

JF-Expert Member
Aug 4, 2022
420
326
Mkurugenzi wa Ubia nchi PPP Mhe David Kafulila ameueleza umma wa Watanzania kuwa Wawekezaji hawawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo haina Utulivu wa Kisiasa,

Aidha Mhe Kafulila amesema ,Nchi ambayo watu wana-tension, Watu wanatafutana haiwezi kupata wawekezaji serious na haya ni matokeo ya 4R za Rais Samia.

Mhe David Kafulila amesema kuwa Uwekezaji Tanzania umekua mfano mauzo ya nje yamekua kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl sawa na TZS 35 Trilioni ndani ya miaka mitatu tu ya Rais Samia.

Vilevile Mhe Kafulila anaendelea kwa kusema kuwa Watanzania wameongeza Ukwasi binafsi kiasi ambacho zaidi ya akaunti mpya milioni 20 zimefunguliwa ndani ya miaka mitatu tu ambapo Mobile bank accounts hizo zimefikia 52M Kutoka 32M za tangu Uhuru.

#Sasa kama watu hawana Pesa hizo akaunti wanaweka mawe?

 
Kwanza kabisa napenda kutumia nafasi hii kumshukuru Mama kwa kuteua Tumbili🐒 kuwa Kiongozi wa binadamu kwa nafasi yake kama Kamishina wa Ubia
 
Aiseeee, Kumbe uchumi wa Tanzania unakua sana
Akaunti 20M miaka mitatu
Wakati akaunti 32m tangu uhuru
Tumpigie makofi.
Tatizo la awamu hii ya 6 watu hawapewi taarifa nzuri wanalishwa taarifa mbaya tuu
 
Kamishina wa Ubia nchi PPP Mhe David Kafulila ameueleza umma wa Watanzania kuwa Wawekezaji hawawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo haina Utulivu wa Kisiasa,

Aidha Mhe Kafulila amesema ,Nchi ambayo watu wana-tension, Watu wanatafutana haiwezi kupata wawekezaji serious na haya ni matokeo ya 4R za Rais Samia.

Mhe David Kafulila amesema kuwa Uwekezaji Tanzania umekua kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl ndani ya miaka mitatu ya Rais Samia.

Vilevile Mhe Kafulila anaendelea kwa kusema kuwa Watanzania wameongeza Ukwasi binafsi kiasi ambacho zaidi ya akaunti mpya milioni 20 zimefunguliwa ndani ya miaka mitatu tu ambapo Mobile bank accounts hizo zimefikia 52M Kutoka 32M za tangu Uhuru.

#Sasa kama watu hawana Pesa hizo akaunti wanaweka mawe?

View attachment 2947295


Akaunti 52M From 32M
Difference 20M halafu Kuna kichaa anasema Serikali haijafanya kitu,

Pyuuuuu
 
Kamishina wa Ubia nchi PPP Mhe David Kafulila ameueleza umma wa Watanzania kuwa Wawekezaji hawawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo haina Utulivu wa Kisiasa,

Aidha Mhe Kafulila amesema ,Nchi ambayo watu wana-tension, Watu wanatafutana haiwezi kupata wawekezaji serious na haya ni matokeo ya 4R za Rais Samia.

Mhe David Kafulila amesema kuwa Uwekezaji Tanzania umekua kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl ndani ya miaka mitatu ya Rais Samia.

Vilevile Mhe Kafulila anaendelea kwa kusema kuwa Watanzania wameongeza Ukwasi binafsi kiasi ambacho zaidi ya akaunti mpya milioni 20 zimefunguliwa ndani ya miaka mitatu tu ambapo Mobile bank accounts hizo zimefikia 52M Kutoka 32M za tangu Uhuru.

#Sasa kama watu hawana Pesa hizo akaunti wanaweka mawe?

View attachment 2947295
Bank hakuna Dolar za marekani.
Hizi anazozungumzia ni dollar za Zimbabwe?
 
Kamishina wa Ubia nchi PPP Mhe David Kafulila ameueleza umma wa Watanzania kuwa Wawekezaji hawawezi kuwekeza kwenye nchi ambayo haina Utulivu wa Kisiasa,

Aidha Mhe Kafulila amesema ,Nchi ambayo watu wana-tension, Watu wanatafutana haiwezi kupata wawekezaji serious na haya ni matokeo ya 4R za Rais Samia.

Mhe David Kafulila amesema kuwa Uwekezaji Tanzania umekua kutoka $8.8bl mpaka $13.9bl sawa na TZS 35 Trilioni ndani ya miaka mitatu tu ya Rais Samia.

Vilevile Mhe Kafulila anaendelea kwa kusema kuwa Watanzania wameongeza Ukwasi binafsi kiasi ambacho zaidi ya akaunti mpya milioni 20 zimefunguliwa ndani ya miaka mitatu tu ambapo Mobile bank accounts hizo zimefikia 52M Kutoka 32M za tangu Uhuru.

#Sasa kama watu hawana Pesa hizo akaunti wanaweka mawe?

View attachment 2947295
Ukiona CHADEMA wamekimbia jua hilo jambo linahusisha akili za darasani,
Wanaogopa sana namba hawa watu
 
Hayo yote Tisa kitaa mbona hayaleti tija ?

 
Hayo yote Tisa kitaa mbona hayaleti tija ?

Mtaa wako mnafanya kazi kwa bidii na maarifa?
 
Back
Top Bottom