Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
lazima kuna hidden ajenda
Misingi ya utawala bora inatufundisha kuwa kiongozi wa umma kupokea donations au kickbacks kutoka kwa wafanyabiashara tena wenye mikataba ya kibiashara na serikali ni TATIZO. Hili halihitaji mjadala na Tibaijuka anafahamu na ndio maana unaona anajisikia vibaya. Na hii haijalishi kama pesa zilikuwa escrow account, za umma au si za umma. Hoja ya msingi ni uadilifu. Je, unajua ni kwa nini Rugemalira aliamua kuchangia Barbro na akaacha shule nyingine za sekondari Mkoani Kagera pengine zenye mahitaji zaidi? Au utasema hizi shule hazikuwasilisha maombi?