Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
ndio anasema yuko mitandao yote ya vijana na anasoma dhihaka zote anazorushiwa, nadhani ndiye Faiza Foxy
Hahaaaaaaaaa lol mumenichekesha sana
ndio anasema yuko mitandao yote ya vijana na anasoma dhihaka zote anazorushiwa, nadhani ndiye Faiza Foxy
Kwamsaada wa watu Wamerekani utarudi mkuu vuta subira!
Kwamsaada wa watu Wamerekani utarudi mkuu vuta subira!
sina hakika lakini nahisi ndiye Faizafoxy
cshule siyo biashara? vipi kuhusu private schools? mbona ada ni ya kubwa kwa faida? kama shule si biashara amuulize mama lwakatare na st mary zake...................public vs private school?