Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
anafananisha mchango wa arusi ya kafulila na mchango wa JR
mama kapanik vibaya huyo dah
anafananisha mchango wa arusi ya kafulila na mchango wa JR
Huyo mama hawezi kumanage hasira.so mijadala kama hiyo hawezi.Mama amekataa kumpa mkono kafulila wa kuaagana kufunga kipindi
yeeeess huo ndio uungwanamanager wa bank ya stanbic bank tawi la dar-es salaam raia wa uganda amejiuzulu kufuatia kashfa ya sakata la escrow kwa kuruhusu/kuachia/uzembe uliosababisha utakatishaji fedha za escrow katika bank hiyo.
Source: Star tv
kama habari hiyo ni kweli, huyo mkurugenzi anajua kuwajibika
Unajua ni vigumu kujenga hoja kwenye uongo! Yani ukibanwa na una hatia ni ngumu sana kutokupanic, hasa kama jamaa anae ku accuse unamdharau.Huyu mama ana temper za ajabu yani hawezi kujenga hoja zaidi yakupanic yani alikuwa anajichanganya changanya
STAR TV hapo walichemshaKafulila anazo documents za sakata la ESCROW ACCOUNT kwa kuwa yeye ndiye aliyeleta hoja hiyo bungeni. Anayetakiwa kuzijibu hizo documents za Kafulila ni mtu mwenye documents kama hizo kutoka Wizara au Idara husika, mfano Wizara ya Nishati na Madini, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, hao ndio wenye uwezo wa kuzungumzia au kujibu kuhusu documents za Kafulila.
Maelezo yako marefu yanavunjwa na maneno machache sana,''fedha za escrow hazikua za umma".
Badilisha jina mkuu uitwe Bukwabimalira utaongeza chances!Hivi Rugemalira alishamaliza mgawo? Huku hata manyunyu ya mgawo hayajafika. Au mpaka uwe na sifa gani? Tujuzane please!
Nimemuelewa kiundani mno Kafulila kwenye hii issue ya Escrow.
anafunika nyasi kwa udongo huyu mama
Maelezo yako marefu yanavunjwa na maneno machache sana,''fedha za escrow hazikua za umma".
Badilisha jina mkuu uitwe Bukwabimalira utaongeza chances!
nidadavulie mkuu nimeipendaHeheheeee.....anajificha kwenye kichaka cha karanga.