Ingekuwa mara ya kwanza labda mtu ungeweza kushangaa au kutetea shutuma dhidi ya huyu mama. Tibaijuka, kwa wanaomjua au wanaojali, haku qualify hata kupewa huo uwaziri. Tibaijuka alishapiga hela ndefu wakati akiwa mkuu wa Tume/Kikosi Kazi kilichopewa hela na Scandinavia donors kwa mradi wa kuunda umoja wa wanawake usiofungamana na siasa baada ya kufutwa UWT ya CCM.
Tibaijuka kazi hakufanya, hela za mradi akapiga, alicholeta serikali ikakikataa, akaanzisha sintofahamu mpaka akasababisha mume wake kupata presha na kufa, wakati huo mumewe akiwa balozi wa Scandinavian countries zilikotokea hela. Then Tibaijuka aka play the gender card kwa kudai anakuwa targeted kwa sababu eti ni mwanamke, all the while wizara inayomsimamia ni ya wanawake na watoto, inayoongozwa na wanawake! Hiyo ni kabla hajafukuzwa kazi UN Habitat alikoharibu pia.
Kwa hiyo, Tibaijuka kwa wanaomjua sio msafi, na sidhani kama JK anakuwa kweli hajui tambala la mtu (profile) kabla ya kumteua. Hajali tu.
Tibaijuka kazi hakufanya, hela za mradi akapiga, alicholeta serikali ikakikataa, akaanzisha sintofahamu mpaka akasababisha mume wake kupata presha na kufa, wakati huo mumewe akiwa balozi wa Scandinavian countries zilikotokea hela. Then Tibaijuka aka play the gender card kwa kudai anakuwa targeted kwa sababu eti ni mwanamke, all the while wizara inayomsimamia ni ya wanawake na watoto, inayoongozwa na wanawake! Hiyo ni kabla hajafukuzwa kazi UN Habitat alikoharibu pia.
Kwa hiyo, Tibaijuka kwa wanaomjua sio msafi, na sidhani kama JK anakuwa kweli hajui tambala la mtu (profile) kabla ya kumteua. Hajali tu.