cshule siyo biashara? vipi kuhusu private schools? mbona ada ni ya kubwa kwa faida? kama shule si biashara amuulize mama lwakatare na st mary zake...................public vs private school?
Anatumia jina gani!
Nimemsikia Prof bhana, aweke ID yake wazi nianze nae sasa
Huo ndo ukweli,kafulila anaenda na document za mambo ya nishati kwa waziri wa ardhi na majumba anategemea kuachieve nini?.Prof anasema kafulila kuleta makaratasi hapo sio mahakama ni studia, hivyo Kafulila analeta drama!
kaka snap picha hiyo ututumie huku ya huyo mama
Naangalia hapa, Tibaijuka anatoka povu, na jinsi walivyokaa karibu, Kafulila analowa mvua ya mate, vilevile anweza kunaswa kibao.
Anayejua hiyo shule atuwekee humu ituchagize