MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,843
- 15,156
Kwahiyo unataka kusema akitoka madarakani anafuta deni lake??!!
Hawezi kufuta,Kwahiyo unataka kusema akitoka madarakani anafuta deni lake??!!
Anapoongea anaweka ujumla ujumla wa mambo.Uongo upi wewe Kila kitu ni Siasa?
Hoja hujibiwa kwa hoja.sasa badala useme huo ambao ni ukweli, unajitambulisha kwa tone na style ya article kwamba wew ni block gani 🐒
Kafulila ni kiazi kitamu tu.
Hujasema bado.TANZANIA USD88
ELON MUSK USD193.6
next time tujaribu kutawaliwa na AI maana we have failed humanity
alichukua vipande thelathini yuda atakua david anayeshindwa kujitegemea anapata chakula cha kila siku kwa kusema uongo.Duniani ni pahala pa Shetani
Shetani ni baba wa Uwongo 😄
David ni Mkristo hawezi kudanganya
Na ndio ajabu yenyewe.Machawa at their best, mbona hali ya wananchi aibadilike.
Kafulila nalo ni zimwi lingine linalosaka vyeo,tuache zimwi liendelee na kazi,huko nyuma alikuwa ni mtu kweli kweli Sijui nn kinaendelea kumtokea huyu kijana.Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL
View attachment 2945755
Hao wameshakataliwa, Haiwezekani Kila kazi ya Mungu wewe úpingeAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC
Unazo takwimu ya unachokisema?Nilijua angalau Leo kaongea hoja ya maana lakini kumbe ni UJUHA mtu, umaskini Tanzania umeongeza, hiyo ndo habari sahihi.
Yuko sahihi kabisaKama anayoyaongea ni kweli.
Bas Sa100 kaupiga mwingi 😀
Correction, hauwezi kushtakiwa ukisifia, hata kama ni uongoKusema uongo is order of the day.
HAwezi kushtakiwa kwa kudanganya