Alafu you tumbili, you joined JF less than a year ago, unajibu watu easily bila kujua lolote, wewee ni pumbaf, shithole kabisahebu tuone hizo zako zisizo na mashaka tuzione 🐒
Duuuh sio kwa Povu hiliAafu you tumbili, you joined JF less than a year ago, unajibu watu easily bila kujua lolote, wewee ni pumbaf, shithole kabisa
Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL
View attachment 2945755
sasa join since 2010 na huna content, your only good to reply with useless point, while tone, rhythm and styles of your articles tells everything about the block you belong 🐒Aafu you tumbili, you joined JF less than a year ago, unajibu watu easily bila kujua lolote, wewee ni pumbaf, shithole kabisa
Ungeleta takwimu na wewe sio maneno maneno haya.1. Kwa kazi ipi aliyozalisha nini? Acheni kujilisha upepo.
2. Uzuri ni kuwa Kila mtu mbele ya Mola atakabidhi balance sheet yake yeye mwenyewe.
Watanzania wanapenda sana kusikia vitu hasi hili litawauma sanasasa join since 2010 na huna content, your only good to reply with useless point, while tone, rhythm and styles of your articles tells everything about the block you belong 🐒
Punguza mihemko, weka data, unaogopa hadi tumbili 🤣
Mkuu hupendi kuona Serikali ilikusanya Mapato?Ndio kipindi ambacho tumeshuudia kodi nyingi tangu nchi hii kupata uhuru!
Yani hata anaenunua luku anapigwa 1,500 eti kodi ya jengo.
Hizo hela alizozalisha zimeenda wapi?
Kafulila aache utaahira ndio maana mke alimpigia chini.
Sana, Ngoja tuoneWatanzania wanapenda sana kusikia vitu hasi hili litawauma sana
yafaa kubadilika, na kwakweli kuwa positive hata katika masuala ambayo ni negative. Na kwa kufanya hivyo tunaweza kuyaendea au kuyatafutia ufumbuzi masuala mengi sana na kupata Suluhu mujarabu sana za kudumu na tusonge mbele pamoja 🐒Watanzania wanapenda sana kusikia vitu hasi hili litawauma sana
Nadhani ungejitolea kutoa hii shule mkuuyafaa kubadilika, na kwakweli kuwa positive hata katika masuala ambayo ni negative. Na kwa kufanya hivyo tunaweza kuyaendea au kuyatafutia ufumbuzi masuala mengi sana na kupata Suluhu mujarabu sana za kudumu na tusonge mbele pamoja 🐒
hii ya kua very active na very good to reply without understanding itatuchelewesha sana 🐒
Sasa huu ni wakati wa JPM?Upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu, upumbavu mtupu.
Ni hatari sana Taifa linapokuwa linapita kwenye hali ngumu ya uchumi halafu anakuja MPUMBAVU mmoja aliyevimbiwa anaanza kuwadanganya watu kiasi hicho.
Wakati wa JPM uchumi ulipanda mpaka tukafika uchumi wa kati, alipotutoka tu JPM, uchumi ulishuka ghafla.
Ungeleta takwimu na wewe sio maneno maneno haya.
Piga kazi mkuu1. Huna takwimu hapa zaidi ya u chawa pro max kwenye ubora wako.
2. Hata kina Mandela, Nyerere achilia mbali kina Obama, Xi, Putin na wote hakuna popote wananasibiwa kwa maoato yoyote ya umma kama nguvu zao.
3. U chawa chawa huu si mngedanyana na kina konda boy Lumumba huko?
4. Nisiache kukwambia habari uchwara hizi hayupo wa kundanganya nazo.
Habari yenyewe ndiyo hiyo ndugu.
Hakuna nyumbu wa CHADEMA anayeweza kupangua hoja hizo nzito za Mheshimiwa Kafulila. watakachoweza nyumbu ni kutukana matusi tu. Ngoja nimwite ErythrocyteAkili kubwa Kafulila ngoja tuwasubiri pingapinga FC