Kabila penda ngono kuliko yote

Kabila penda ngono kuliko yote

Hitimisho langu ni kuwa ni ngumu ku-generalise.ila kwa mujibu wa mjumbe mmoja.kuna kabila jipya la wanavyuo.hili ni penda ngono sana hili
 
Uliwahi kudaiwa kitu na The Boss. au Kaunga alishawahi kujua jina lake la utoto?
KIKUNGU je?
Sikonge nae mnadaiana?
Enhenhenhenhe labda Elli una utani nae.
Ngoja waje na dada yao Ablessed
hahahahaaaa hivi kuna mtu hapendi Ngono? Atakua anauchukia uumbaji huyo sio bure!!! Ngoja nihamie jukwaa la kikubwa tushushe nondo kule ila kama ukifanikiwa kujua kabila la Madame B au Excel inaweza kukupatia mwanga kidogo
 
Last edited by a moderator:
Wahaya ,Warangi ,Wanyiramba ,Wapare wa same, Wazaramo, Wasambaa

kwa kabila la wanyiramba case study yako atakuwa ni mwigulu nchemba!!!!!

kwa warangi umemuona nani!!!! usiseme mfuga mbwa
 
Khaaaaa haaaa nasubiri reaction ya wahusika ili ni prove kama waliotajwa ni kweli..... Assumption "If no recation= kweli" and "reaction=sikweli" parameter error......... source code executor..
 
Wangoni haswa MEN

Nakubaliana na wewe kwa asilimia 90. Huku ninakoishi ni mbali na Luvuma kuna wangoni wachache tunafanyakazi pamoja. Kuna wangoni walinzi 4 na dr mmoja. Hawa jamaa weka mbali na mke wako sijui wanadawa hawa khaaa!
 
nimefanya kazi za site karibia tanzania nzima.sijaona kabila lililotulia ktk hiyo kitu bana
 
mnyakyusa nawaangalia tu apa mnavozuunguka wakati tumetulia ma incharge manyota:biggrin1:
 
unamaanisha nini unaposema kupenda ngono? maana mi nafikiri kiumbe aliyekamilika lazima aipende ngono
 
nadhani hamna kama Wapemba maana wanatoa mpk t.i.g.o
 
Tuacheni wapare tupumueeee.....!!!

Mshana jr.;
Nisamehe bure tu. Mleta hoja kasema ni kabila gani atii wanaipenda hiyo kitu? Nimesema hawa Wapare kwani ndo vidume tu. Kiila mahali vina wika mpaka vinalia machozi vikiomba kitu.
Sawa na kabila linalopenda ngoma ya mdundiko, Mkwereeee, we acha tu. Hatoki hapo, hata king'ora kingelia, hatoki. Hata asome aende ulaya, Msambaa hasahau kisambaa. Huo ndo ukweli wa mambo, kila kabila na kiu yao, haiishi. Mnyakyusa asione Mpododo! Loh! hata kula hali, aangalie tu. Usichukie Mshana jr.
 
We ndo huji kitu kabisa;
Wahaya bwana hawapendi ngono ila waligundua kuwa hakuna penzi la bure, lazima utoe kitu kidogo. Hao Wasukuma ndo waajabu kabisa, haswa wanaume, wakipenda haswa mwanamke rangi kahawia nyie mwasema mweupe, Msukuma huzimia, Wazanaki ndo usiseme, wanawake wa huko huhonga ugali wampate mwanaume. Wapare ni vidume ndo vinapenda sana hiyo kitu

KATELERO at work.Mimi nimekupa statistics za kimataifa juu ya status ya ngono kwenye makabila ya TZ.Wewe ulishawahi kumwonea wapi msukuma wa MWANZA ana wanawake zaidi ya mmoja?.Toa ushahidi kama utakuwa nao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom