Crazy Joe
Senior Member
- Oct 8, 2021
- 186
- 332
Kwani Para troopers sio makomandoo? Acha uongo kwa mambo hujui, unajifanya unajua kila kitu!
Kwani Para troopers sio makomandoo? Acha uongo kwa mambo hujui, unajifanya unajua kila kitu!
Acha uongo wewe...Chalinze yote Ile imejaa makomandoo wanaishi mtaani. Zaidi ya Mia wapo tu wangejenga na kujenga na Wana familia zaoCommandos always wako kwa kambi na wanakua wanahamishwa hamishwa yani.
Wanazalisha Sana kitaa..Hawapati mda wa kugegeda partners wao?![]()
Oooooh kumbe, bas sawa.Wanazalisha Sana kitaa..
Nishaona wawili wameoa..sasa sijui Sheria inaruhusu au ndio wamefanya figisu!
Wapo wale ambao wanafuga ndevu na wengine wana rasta kabisaUpo sahihi mkuu lakini hatuwezi jua pengine wapo mahodari hata kuwazidi hao tuliowaona na bado wamefichwa![]()
Ila naomba kujua kirefu cha MFS
Komandoo anaruhusiwa hata kuwa kama osama na military intelligence nao wanaruhusiwa piaShukrani ndugu alafu kuna swali niliuliza hapo juu kwamba je kuna kitengo chochote jeshini ambacho kinaruhusu askari wake kufuga ndevu ama nywele?
Pale ni kwa ajiri ya demo au maonyesho wenye back up ya ulinzi wanakuwepo kulinda hizo siraha in case of anything pakinuka hata hao wenye bunduki tupu ni kurushiana magazine then kinawaka.Panel ya ulinzi nayo haijasinzia imejaa hapo ndani ya uwanja na nje.Sawa nimeelewa, kuuliza vipi uvamizi ukitokea?
Komandoo anaruhusiwa hata kuwa kama osama na military intelligence nao wanaruhusiwa pia
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Acha uongo wewe...Chalinze yote Ile imejaa makomandoo wanaishi mtaani. Zaidi ya Mia wapo tu wangejenga na kujenga na Wana familia zao
Wapo wale ambao wanafuga ndevu na wengine wana rasta kabisa
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Next time wamalizie fire brigade na wale jamaa wa porini.
Ila nadhani ujumbe iliotumwa kwa maraisi waliohudhuria umefika kikamilifu Viva jw Viva vikosi vyote
mmmh sio poa man. miez 18 unapiga kozi tu.Hao special marine na washikaji wa 92 ivi kwann hawapendani???? yani wanadisiana mno kila mmoja anajiona bora kuliko mwenzake yani hawapatani hata navy special marine komandoo anajiona yy ni bora kuliko komandoo wa 92 ila twende mbele turudi nyuma ukiniambia mm kati ya Navy komando na komandoo wa 92 nani bora mm nitakuambia komandoo ni 92 wale washenzi wanabalaa ndomana Special marine komando anakuwa na inferiority Complex kwa wazee wa 92 Lakini kiukweli 92 ndo the best kwa sababu wanafanya kozi yao muda mrefu tofauti na Navy miezi 7 tu washamaliza sasa hao 92 sijui nimiezi 18 ndo Kozi yao inaisha noma.
NB,komandoo wa 92 namanisha wenye ballet za Maluni.
Marine special komando navy ni hao waliovaa nguo nyeusi ballet za blue cjui izo...
Hata MP na wao wanavaa red beretsRed beret na blue berets
Makomando hao ukiona wanafuga ndevu awo wanakazi maalumu hasa hasa maswala ya intelligencia ili asijulikanike kama yy ni askari mbona hata polisi wapo pia wanaofuga nywele tena rasta na ndevu.mmmh sio poa man. miez 18 unapiga kozi tu.
na vip kuhusu hao makomando wanao fuga ndevu na rasta, ndani ya hao makomando nao wanakuwa na kikundi chao cha peke yao au inakuaje hapo.?
Komando avai red ballet ni maluni ballet utofauti ni mkubwa sana.Hata MP na wao wanavaa red berets
ok, nimekupata vyema manMakomando hao ukiona wanafuga ndevu awo wanakazi maalumu hasa hasa maswala ya intelligencia ili asijulikanike kama yy ni askari mbona hata polisi wapo pia wanaofuga nywele tena rasta na ndevu.
Nasikia ndani ya makomandoo kuna wale makondoo min, makomando, makomando Pro, na makomandoo pro maxmmmh sio poa man. miez 18 unapiga kozi tu.
na vip kuhusu hao makomando wanao fuga ndevu na rasta, ndani ya hao makomando nao wanakuwa na kikundi chao cha peke yao au inakuaje hapo.?
Yeah hao wanakuwa ni macommando wa special forces. Maana siyo kila commando yuko kwenye special forces.mmmh sio poa man. miez 18 unapiga kozi tu.
na vip kuhusu hao makomando wanao fuga ndevu na rasta, ndani ya hao makomando nao wanakuwa na kikundi chao cha peke yao au inakuaje hapo.?
yah! mpo wachache sanaYeah hao wanakuwa ni macommando wa special forces. Maana siyo kila commando yuko kwenye special forces.