Mantheman6
Senior Member
- May 30, 2020
- 169
- 144
- Thread starter
- #61
Lkn humu si kuna wajeda pia?.
Watu kama hawa ni wakuwapotezea tu unakuta hapo alipo mfukoni hana hata mia wala hajui leo atakula nini asubuhi kaamkia maji tu na bando lakukopa kwaio anakuja humu kutafuta watu wa kuwabugdhi

