JWTZ ina vikosi vingapi?

JWTZ ina vikosi vingapi?

Ramadhan kingai,mahita,jumanne na good luck ni maofisa wa police waliokuwa wakiwatema makomandoo waliokuwa wanamlinda mbowe

Sasa kama ni maofisa wa polisi na hao makomando waliwekwa chini ya ulinzi ulitegemea hao makomando wafanyeje ili wasionekane wameyumba?
 
Sasa kama ni maofisa wa polisi na hao makomando waliwekwa chini ya ulinzi ulitegemea hao makomando wafanyeje ili wasionekane wameyumba?
Out of content
Uliuliza " hao ni wakinanani " nimekujibu hivyo.
 
Yaani kisa hao kina Kingai na Mahita eti ndiyo wabongo wanaona kama mapolisi wako vizuri kuliko makomandoo wa jwtz! Hatuna budi kuwaacha wabaki na ujinga wao mkuu!

Ni ufinyu tu wa akili na chuki za wazi kwa jeshi la wananchi
 
Back
Top Bottom