Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,819
Hao kwa mujibu wa duru za habari mtaani ni MSF - Marine Special Force, Wanajeshi wa Kikosi Maalum cha Majini(Komando) .Hao wenye nyeusi ni amphibians kama sikosei.
Hao kwa mujibu wa duru za habari mtaani ni MSF - Marine Special Force, Wanajeshi wa Kikosi Maalum cha Majini(Komando) .Hao wenye nyeusi ni amphibians kama sikosei.
Wooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto
MSF - Black/Blue wana mafunzo makubwa zaidi ya Kamando wa maroon beret.Hivi kati ya hao makomando wa navy na nchi kavu ni wapi wenye majukumu mazito zaidi kiutendaji na hata kwenye mafunzo??
Maana kuna komando mmoja wa navy naona kwenye picha alijitwika mzigo mzito zaidi nafikiri si chini ya kg 50
View attachment 2039075
View attachment 2039076
Kwa tunaofuatilia kesi ya mbowe na wale makomando wake tunajua nini kinazungumzwaNaomba utuelezee kilichotokea maana inawezekana wengi humu hatufahamu unachozungumzia
kingai alaaniwe na kizaz chake makomando wetu wamelia kama watoto mbele ya kingai



Ndio kipo, commando special forces wanafuga ndevu na nywele kama raia. Sio kila commando anaweza kuwa special force isipokuwa huwa wanaselect elite soldiers wachache kutengeneza partnership ya special forces. Mimi nimewaona kwa macho sehemu flan Dar es Salam, hata ngerengere pia ukibahatika kufika utawaona. Issue wanafanya hivyo kuna baadhi ya operation ambazo ni very complex zinataitaji participants wasigundulike kirahisi

Haya ni ya makomandoo labda si unaona yalivyojaa misulimatacle yako kama hayaView attachment 2042506
Haya ni ya makomandoo labda si unaona yalivyojaa misuli


.aiseeMSF - Black/Blue wana mafunzo makubwa zaidi ya Kamando wa moon beret.
Kwa tunaofuatilia kesi ya mbowe na wale makomando wake tunajua nini kinazungumzwa
MSF - Black/Blue wana mafunzo makubwa zaidi ya Kamando wa moon beret.
Eeeeeh kumbe, basi sawa.Nimesikia sehemu wengi wao huwa wanaoa wanajeshi wenzao
Fungua nyuzi za kesi ya mbowe ziko nying tu.Kwa sisi ambao hatufuatilii inakuwaje?
ulimi hauna mfupa mkuu, i meant maroon.Komando wa moon beret ni komando wa aina gani mkuu?
ndio mkuu.ulikusudia maroon beret ama ni hivyo hivyo ulivyoandika??
Yaan huyu mke wake ana kazi, wakati wa tendo huwa anafumba macho sio kwa muonekano huo lol.View attachment 2042517
mwamba ulitisha sana,japo sina uhakika kama una smartphone au huwa unaingia hata jf,ila amini uliua.



We jamaa kuna uzi niliona unashangaa wanajeshi kufuga ndevu kisa yule wa Guinea kafuga ndevu soma huko juu. Mwanajeshi wa Special Forces anaruhusiwa kufuga ndevu.mnapenda sana utani na kingai.
yeye anasema hakuhusika kabisa na hiyo adhabu wanamsingizia![]()