Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,035
- 69,455
Akikujibu Njoo Kyerwa Ule Chai Katoke Ushushie Na Juice Ya MlambaKipi ulichokiona leo kitaweka ugali mezani
Mimi Nitalipa Cash, Jioni Utakunywa Rubisi
Akikujibu Njoo Kyerwa Ule Chai Katoke Ushushie Na Juice Ya MlambaKipi ulichokiona leo kitaweka ugali mezani
Ndio hao hao tu.Hao kwa mujibu wa duru za habari mtaani ni MSF - Marine Special Force, Wanajeshi wa Kikosi Maalum cha Majini(Komando) .
We jamaa kuna uzi niliona unashangaa wanajeshi kufuga ndevu kisa yule wa Guinea kafuga ndevu soma huko juu. Mwanajeshi wa Special Forces anaruhusiwa kufuga ndevu.
Na kumbuka yule Mamady Doumbouya ni Mwanajeshi wa Special Forces. Naonaga comments zako unavyowapondeaga wanajeshi inaonesha una chuki nao sana kuliko kawaida.
Fungua nyuzi za kesi ya mbowe ziko nying tu.
Ila kwakifupi Huyo afande kingai na afande mahita na afande jumanne waliwakamata makomandoo wa jwtz wamewashushia kichapo kikali na mateso y hali ya juu mpaka hawan hamu nao.kipigo kipigo heavy na wamepew keai wakaswekwa rumande
Mambo ya kuoa sio kipaumbele,piga puli siku imeisha.

Yaan huyu mke wake ana kazi, wakati wa tendo huwa anafumba macho sio kwa muonekano huo lol.![]()
mimi hunijui vyema mkuu,ni mtu ambaye naandika sana maelezo kuwahusu wanajeshi humu hata askari wa taasisi nyingine.
kuhusu ndevu nilimaanisha nilichokiandika,kwamba wanajeshi kufuga ndevu huo sio utaratibu wa kawaida,nia yangu ilikuwa zaidi kuelezea namna mapinduzi yalivyofanyika na uimara wa jeshi husika.
hapa bongo wanaofuga ndevu wapo,ila hata wewe hujawahi kukutana nao kwanini unadhani???
Komandos wako navy, infantry na airwingHao waliovaa mabaka na kofia nyekundu ni kutoka kamandi ya nchi kavu kikosi maalum(komandoo)
Hao waliovaa kama nyeusi/dark blue ni kutoka kamandi ya maji kikosi maalum ie ni makomandoo lakini wa navy
Kingai ni mafia tu hana ubavu wowote hata mbele ya kuruti wa kwa mujibuWooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto
Para troopsHao wenye nyeusi ni mafundi magari wa jeshini
Chura ni amphibia nenda kasome sifa za amphibians moja wapo hutumia ku refer hao wazalendoUmeniacha kidogo nini maana ya Amphibians?
Chura ni amphibia nenda kasome sifa za amphibians moja wapo hutumia ku refer hao wazalendo

Wapo wengi mkuu. Huwa nawaona sana.mimi hunijui vyema mkuu,ni mtu ambaye naandika sana maelezo kuwahusu wanajeshi humu hata askari wa taasisi nyingine.
kuhusu ndevu nilimaanisha nilichokiandika,kwamba wanajeshi kufuga ndevu huo sio utaratibu wa kawaida,nia yangu ilikuwa zaidi kuelezea namna mapinduzi yalivyofanyika na uimara wa jeshi husika.
hapa bongo wanaofuga ndevu wapo,ila hata wewe hujawahi kukutana nao kwanini unadhani???
Wapo wengi mkuu. Huwa nawaona sana.
Dada umeshawahi kuwa na mahusiano hata na mwanajeshi wa kawaida?





kwanini umeuliza?😂😂😂😂😂Wooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto
kwanini umeuliza?
Hapana.Kuna jambo nimewaza tu
Hapana.
Baba yao Magufuli ameishakufa🚮🚮🚮...hebu waweke mtaani watafutane sasaiv tuone!Wooote hao ni cha mtoto mbele ya Kingai na Mahita na Jumanne ...wanalizwa kama watoto