JWTZ ina vikosi vingapi?

JWTZ ina vikosi vingapi?

We jamaa kuna uzi niliona unashangaa wanajeshi kufuga ndevu kisa yule wa Guinea kafuga ndevu soma huko juu. Mwanajeshi wa Special Forces anaruhusiwa kufuga ndevu.

Na kumbuka yule Mamady Doumbouya ni Mwanajeshi wa Special Forces. Naonaga comments zako unavyowapondeaga wanajeshi inaonesha una chuki nao sana kuliko kawaida.

mimi hunijui vyema mkuu,ni mtu ambaye naandika sana maelezo kuwahusu wanajeshi humu hata askari wa taasisi nyingine.

kuhusu ndevu nilimaanisha nilichokiandika,kwamba wanajeshi kufuga ndevu huo sio utaratibu wa kawaida,nia yangu ilikuwa zaidi kuelezea namna mapinduzi yalivyofanyika na uimara wa jeshi husika.

hapa bongo wanaofuga ndevu wapo,ila hata wewe hujawahi kukutana nao kwanini unadhani???
 
Fungua nyuzi za kesi ya mbowe ziko nying tu.
Ila kwakifupi Huyo afande kingai na afande mahita na afande jumanne waliwakamata makomandoo wa jwtz wamewashushia kichapo kikali na mateso y hali ya juu mpaka hawan hamu nao.kipigo kipigo heavy na wamepew keai wakaswekwa rumande

Sasa kama iko hivyo ulitaka hao makomando wafanyaje ikiwa waliwekwa chini ya ulinzi wa serikali?
 
mimi hunijui vyema mkuu,ni mtu ambaye naandika sana maelezo kuwahusu wanajeshi humu hata askari wa taasisi nyingine.

kuhusu ndevu nilimaanisha nilichokiandika,kwamba wanajeshi kufuga ndevu huo sio utaratibu wa kawaida,nia yangu ilikuwa zaidi kuelezea namna mapinduzi yalivyofanyika na uimara wa jeshi husika.

hapa bongo wanaofuga ndevu wapo,ila hata wewe hujawahi kukutana nao kwanini unadhani???

Mkuu sio kwamba tunakutana nao ila hatuwajui?
 
Hao waliovaa mabaka na kofia nyekundu ni kutoka kamandi ya nchi kavu kikosi maalum(komandoo)
Hao waliovaa kama nyeusi/dark blue ni kutoka kamandi ya maji kikosi maalum ie ni makomandoo lakini wa navy
Komandos wako navy, infantry na airwing

Na wanatofautiana kwa ballet zao kichwani

Infantry wanavaa damu ya mzee sio nyekundu(nyekundu ni mp)

Navy wanavaa zile dark bluu (chelsea)

Airfore sijui wanavaa rangi gani maana za wa kawaida ni ni light blue
 
mimi hunijui vyema mkuu,ni mtu ambaye naandika sana maelezo kuwahusu wanajeshi humu hata askari wa taasisi nyingine.

kuhusu ndevu nilimaanisha nilichokiandika,kwamba wanajeshi kufuga ndevu huo sio utaratibu wa kawaida,nia yangu ilikuwa zaidi kuelezea namna mapinduzi yalivyofanyika na uimara wa jeshi husika.

hapa bongo wanaofuga ndevu wapo,ila hata wewe hujawahi kukutana nao kwanini unadhani???
Wapo wengi mkuu. Huwa nawaona sana.
 
Back
Top Bottom